Aisee! Facebook kuna vituko

Juma wee ulitaka papuchi tu sio uchumba
Huyo bi khadija ingewezekana akarbishwe Jf maana humu waowaji wamejaa tele japo nao maembe mabovu
 
Hahahaa uwazi kwa umma wa kitanzania wapi na wapi si ataishia kuitwa malaya tu
huyu dada sioni tatizo lake, nammuona kawa mwazi na kuwasaidia wanawake wengine ili wampitie mbali juma kadala, wasije kuchezewa kama alivo chezewa yeye
 
Back
Top Bottom