Aise Messi ndio mbuzi

Aisee unajua Mkuu..kila aliyemuona..akasema zile Cross za Messi zinaleta Goli..lijamaa halina huruma
Mi zile cross zilikuwa kama 5 au 6..
Pin point cross.. nikajiuliza hii accuracy ni kipaji au kasomea ?

Maana alikuwa anatuma cross ..kwa kipimo Cha urefu wa mchezaji.. haangaiki kufuata mpira...Bali mpira unakuja kwenye kichwa mahali ulipo
 
Kama wewe umelitambua hili na kulisema hadharani, basi akitokea wa kwenda kinyuma na hili basi ni haki yangu kumuadhibu.
 
Huyu jomba aliwasoma walinzi wa England kwamba wamemdhibiti asipige golini kwa left foot akacheza na akili zao akaanza kutia crosses kwa mguu wake dhaifu.
Huyu mtu ni mtaalamu sana wa kuusoma mchezo!
 
Kama unapenda mpira kwamba ni Art, then huwezi kuacha kumpenda Messi...

Lakini kama unapenda mpira kamaa mchezo tu wa timu hii kucheza na timu nyingine, basi hapo ndipo utapomjumuisha CR7...
 
NnMi zile cross zilikuwa kama 5 au 6..
Pin point cross.. nikajiuliza hii accuracy ni kipaji au kasomea ?

Maana alikuwa anatuma cross ..kwa kipimo Cha urefu wa mchezaji.. haangaiki kufuata mpira...Bali mpira unakuja kwenye kichwa mahali ulipo
Jirani yangu kibanda umiza..alisema jamaa mchawi๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Huyu jomba aliwasoma walinzi wa England kwamba wamemdhibiti asipige golini kwa left foot akacheza na akili zao akaanza kutia crosses kwa mguu wake dhaifu.
Huyu mtu ni mtaalamu sana wa kuusoma mchezo!
Mkuu ile pasi ya goli imeenda katikati..kwann๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ