Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

Aise kumbe Mwanza si ya Ukawa?

ukuyaona mabasi yaliyosomba wanafunzi na ngombe. pia fiesta ilikuwepo. kingine malori yalijaa takribani nusu uwanja. nyomi la lowassa huwa ni nouma uwanjani huwa ni roli moja tu na pa system basi.
 
Tangu kampeni zianze kumekuwa na propaganda,mara ooh eneo hili ni ngome ya Ukawa nakumbuka mwanza,mbeya na arusha,ilikuwa ikidaiwa hivyo.Lakini kwa tsunami ya leo jioni nimeogopa,nakujua kuwa kweli Magufuli anapendwa aise.

Toroka rudi nyumbani kwa baba Magufuli saa mbaya hizi
 
Mbona sikuona watu wakitumia na watu walikua wengi kuliko hata wa ukawa?
 
Mleta mada kama ungejua kilichopo nyuma ya pazia usingesema mayo maneno yako
 
apokelewa kama mfalume, asema watanzania wasipotoshwe na wanasiasa na kuiacha amani. Asema maisha kwanza siasa baadaye.
 
Halaf weng walikuwa na sare za kijan na njano km wanachuo wa chuo cha MAFISAD! Mchana ccm usiku...
 
Sijaona wakizimia na nyomi ilikua funika bovu

Hivi kumbe kuzimia ndiyo kigezo cha nini kwani? Sera zinapomwagwa na mtoto mzuri asiye na hiana kama Magufuli mioyo yooote huinuka na kupona wala hakuna tena kuzimia! Watu huzumia pale wanapokosa Tumaini wanapoenda UKAWA na kukutana na mgonjwa na mtuhumiwa wa nanino kibao
 
Sijaona wakizimia na nyomi ilikua funika bovu

Hivi kumbe kuzimia ndiyo kigezo cha nini kwani? Sera zinapomwagwa na mtoto mzuri asiye na hiana kama Magufuli mioyo yooote huinuka na kupona wala hakuna tena kuzimia! Watu huzimia pale wanapokosa Tumaini wanapoenda UKAWA na kukutana na mgonjwa na mtuhumiwa wa nanino kibao
 
Kuna watoto wengi huu ndio uchaguz wa kwanza kushuhudia wakiwa na ufahamu na pengine ndio mara ya kwanza ubongo wao kupokea taarifa nying za propaganda kwa hiyo uwezo wa kuchuja na kubaki na taarifa sahihi ni mdogo sana.Ukituliza mizuka na muhemko ya Kusiasa ndan ya Nafsi watu wengi wameshafahamu nan ni mshindi hata kama watabisha ili kunogesha joto la kisiasa.kazi ipo kutambua Vyama vitagawanaje asilimia ya ushindi kwny Madiwan na Wabunge na jee itawezekana kuunda serikal bila ya mseto wa vyama? Ila mshindi ana dalili zote za muhimu
 
Back
Top Bottom