Cestus
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 987
- 131
Wakuu leo nimeweka sh.3000 kwenye line yangu ya Airtel ili nijinafasi na bundle ya MB 400.. Cha ajabu nlipojiunga napata msg eti sina salio la kutosha..nkajaribu tena kwa mara kadhaa bdo hamna kitu..kucheki salio langu kuna 536!! Walishanikata hela yangu zamaan halaf hawajaniunga.mhuu si wiz wa wazwaz jaman!! CC haipatikan!!!!!