Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,031
- 760
Wanajamvi naandika huu uzi nikiwa muhanga wa vifurushi vya airtel. kuan wanajf wataanza kusema nimetumwa na mitandao mingine...la hasha mi bado natumia airtel but lazima niseme kwani nimekanyagwa.
Mara nyingi nikitumia bando kwenye modem huwa naweka line kwenye simu ili nnitumie airtime, naomba ieleweke wazi kuwa huwa simalizi bando la internet japokuwa huwa sichunguzi sana. lililonisibu jana ni kuwa nimenunua bando la sh 999 nikapewa mb 250 airtime 40minutes nk.nikatumia internet na nikaweka kwenye simu line nikaangalia salio kukawa na airtime 40dkka,na 136mb.cha ajabu naangalia leo salio ili nitumie kwenye internet kukawa kumebaki 50kb, nilishikwa na butwaa...kwani sm yangu haina internet,muda wa kuexpire ulikuwa bado masaa manne.nimekwazika sana na hawa wa.senge.....sijui kwa nini wanatudanganya danganya na hivi vifurushi.
mods naomba msiniban kama nimetumia lugha mbaya ukizingatia sijawatus nyie incase...nilikwazika sana na hawa vichaa
Mara nyingi nikitumia bando kwenye modem huwa naweka line kwenye simu ili nnitumie airtime, naomba ieleweke wazi kuwa huwa simalizi bando la internet japokuwa huwa sichunguzi sana. lililonisibu jana ni kuwa nimenunua bando la sh 999 nikapewa mb 250 airtime 40minutes nk.nikatumia internet na nikaweka kwenye simu line nikaangalia salio kukawa na airtime 40dkka,na 136mb.cha ajabu naangalia leo salio ili nitumie kwenye internet kukawa kumebaki 50kb, nilishikwa na butwaa...kwani sm yangu haina internet,muda wa kuexpire ulikuwa bado masaa manne.nimekwazika sana na hawa wa.senge.....sijui kwa nini wanatudanganya danganya na hivi vifurushi.
mods naomba msiniban kama nimetumia lugha mbaya ukizingatia sijawatus nyie incase...nilikwazika sana na hawa vichaa