Ceftriaxon
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 446
- 682
Hali inazidi kua mbaya,nimekua nikitumia mtandao wa airtel kwa zaidi ya miaka 16,nafikiri kuachana na huu mtandao, kifurushi Chao cha Internet kinakwisha kwa haraka na sasa wamepunguza kabisa hizo bundle...nafikiri kubaki na line ya Halotel tu kwa sasa.