Airtel Tanzania yapandisha gharama za internet!

Status
Not open for further replies.
mi nshajaribu kupiga hiyo no mara kibao lakini haijawahi kupokelewa,ila si ndo hii kampuni inawalipa customer care wake kilo moja na nusu,labda wamegoma kupokea simu zetu
 
Kuanzia jana wameisitisha nayo mkuu.Yaani ni full maumivu wameziba kila mahakli
Pole mwaya kwa kukosa mteremko . Lakini usimaind saa 5 ya usiku paka saa 1 asb kuna bonge la mteremko .
 
Nimenunua recharge vocha bahati mbaya muuzaji alikuwa na haraka kaikwaruza vibaya akarudia rudia kuingiza na SIM yangu ikafungiwa ku-recharge.

Sasa tangu jana usiku nahangaika ku-dial 100 ambayo ni huduma kwa wateja lakini kinachoonekana ni network busy. Je, mmeweka hiyo huduma ya nini kama wateja hawawezi kuitumia????

Nawapa mpaka leo usiku kama hamfungui namba yangu nahamia Vodacom.
...pole sana mkuu,mimi pia nilikwangu vocha ikafutika namba,niliwapelekea hiyo vocha ofisin leo ni siku ya 4 bado hawajantua salio...
 
Kesho nina maswala yangu pale American Embassy, nitatumia fursa hiyo kupitia kwenye ofisi zao kupata ufafanuzi in personal, maana hawa jamaa ukipiga ile namba yao ya customer care utasikilizishwa muziki mpaka masikio yakuume.

hiyo miziki ndiyo inayokatisha tamaa sijui hawajui maana halisi ya customer care! Nway,wacha nisubiri hiyo kesho ukipata ufafanuzi utatuhabarisha.Please go for it if u get chance,tuondoe hii michanganyo ya hizi bundles
 
ha ha ha.. walitaka bus lijae.. kama vipi c mnaweza kurudi mlikotoka.. kwenye vibito..
 
Nahisi wewe ni kampuni ya simu either Tigo au Voda sasa unataka kuwaharibia Airtel ... na si vinginevo ! mbona mimi leo nimeupload picha zangu kwa kutumia huo mtandao! acheni kuwaharibia wenzenu nyie !

we ndio umepotea njia mkuu,jamaa wanaongea ukweli mtupu!kuapload pict siyo tatizo,tatizo ni kwenye kujiunga na bundle ya MB 400 per month ndo imeshindikana,changanya na zako bana
 
mimi walinianza jana. TSHS 3000 walilamba kwa kuwa tu hapa JF! sasa hivi nimenunua 50MB kwa 2000! shida ni kwamba hawakututaarifu tungejiandaa jamani. halafu hivi ile FIBRE OPTIC CABLE lilikuwa ni dudu gani? si tuliambiwa gharama ya Internet ingekuwa chini sana? au ndiko posho za wabunge zinapotokea?
 
[h=3]MOBILE BROADBAND[/h]To address issues around affordability and simplicity of our Broadband offers we have introduced the new value proposition in the market to respond to these two important customer insights.
Our Airtel Pay As You Go is now only 150/= per MB.
PREPAID BUNDLES
BUNDLE
SUBSCRIPTION
FEE
VALIDITY
Daily Bundle (20MB)
SMS ‘ datasiku ' to 15444
500/=​
1 day​
1 Day bundle (300MB)
SMS ‘ dataplus ' to 15444
3,000/=​
1 day​
Weekly bundle (3GB)
SMS ' datawiki ' to 15444
15,000/=​
7 days​
Monthly bundle (8GB)
SMS ‘ full data ' to 15444
70,000/=​
30 days​
Quarterly Bundle (24GB)
SMS ‘ data90 ' to 15444
200,000/=​
90 days​
Yearly Bundle (96GB)
SMS ‘ data365 ' to 15444
750,000/=​
365 days​
Handset Browsing Bundle(400 MB)
SMS ‘internet ' to 15444
2,500/=​
30 days​
To check your Bundle Balance simply SMS the word ‘SALIO' or ‘BALANCE' TO 15444.
POSTPAID BUNDLES
For POSTPAID, you will have to contact Postpaid hotline (101) for details or you will have to send official, letter for your desired bundle activation request.
BUNDLE
FEE
VALIDITY
Monthly bundle( 8GB)
70,000/=​
30 days​
Quarterly Bundle( 24GB)
200,000/=​
90 days​
Yearly Bundle( 96GB)
750,000/=​
365 days​
Handset Browsing Bundle( 400 MB)
2,500/=​
30 days​
*All prices are VAT Inclusive

KUNA UKWELI SIIONI YA 400MB/2500
 
rates rates rates zikoje? hasa hizi za wiki na mwezi????
 
Bad news
Nimejaribu kujiunga kwa maelezo yao nikiwa na salio la sh 2800 kwa kutuma 500MB ikasema sina salio la kutosha, nikajaribu 250MB ikasema sina salio la kutosha, nikajaribu 150MB ikasema sina salio la kutosha, mwisho nikajaribu 50 MB ikakubali bila kusema imenikata sh ngapi wala ni kwa muda gani.
Na ukiangalia salio unatumiwa majibu haya "Ndugu Mteja Salio lako ni: 1. 50MB : 50MB 2. BUNDLE : 1MB"
Sasa sijui kama nilitakiwa nitumie MWEZI au vipi?

aisee kazi tunayo ila tutakomaa tu...
 
Katika hali ya kushangaza, kampuni ya Airtel imepandisha gharama za matumizi ya internet karibu mara tatu ya gharama za awali. Hali hii itasababisha wananchi tunaoitwa wa kawaida tushindwe kutumia huduma hii kutoka katika kampuni hii ya mawasiliano. TCRA fuatilieni unyonyaji wa makampuni haya ya kinyonyaji.
 
mngetusaidia kuweka hizo gharama hapa.....tungejua pa kuanzia....
sasa kusema tu hivi haitoshi........
 
Nimeongea na jamaa wa customer care jioni ya leo akanithibitishia kuwa gharama zao za internet zimepanda. Mie najiandaa kununua moderm ya kampuni nyingine!
 
mi nimejiunga nilikua na 1600 nkaunga mb 25 then nkabakiwa na sh 100 so mb 25 ni 1500 kuna jamaa nae kaunga 2500 mb 50 tusubirie wengine
 
Status
Not open for further replies.
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom