Kwa hiyo huwezi kutumia huduma hii kwenye modem? Hakuna aliyejaribu akaweza aje atujuze?
Mkuu mimi nimejaribu kufungua hotspot kwenye simu yangu ili kutumia kwa Wi-fi kwenye PC yangu but haikubali hata kubrowse pages...!!!!
Kwani ulikua unamaanisha ni kwa uelewa wako wewe na nani
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Kawaida Katika quotation hutakiwi ubadilishe chochote na hiyo 'Tu' niliitumia sehemu aliyoni Quote??
*****
Alafu nikuulize, wewe kitu gani kinakufanya utofautishe featured phones na smart phones au kwako hazina tofauti??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Zinatofauti mkuu thats why nimetofautisha😊
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Kwa hiyo huwezi kutumia huduma hii kwenye modem? Hakuna aliyejaribu akaweza aje atujuze?
kuna kitu kinaitwa user agent kwenye browser. hiki ndio kinachotofautisha kuwa hii ni browser ya pc, hii ya iphone hii ya android na hii ya nokiA ASHA. sijawahi kutest ila unaweza kuanzia hapo, change user agent ifanane na kifurushi chako, mfano umenunua cha smartphone eka user agent iwe android browser halafu jaribu kama itakubali.
jinsi ya kuchange user agent google mwenyewe kutokana na browser yako
Well chief, i tried kutumia kwenye modem lakini natumia kifurushi cha smartphone na inapiga mzigo kama kawa
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Ukitaka utumie mtandao ambao wenyewe si wezi.. basi itabidi utupe simuWezi tu hawa bana
kuna kitu kinaitwa user agent kwenye browser. hiki ndio kinachotofautisha kuwa hii ni browser ya pc, hii ya iphone hii ya android na hii ya nokiA ASHA. sijawahi kutest ila unaweza kuanzia hapo, change user agent ifanane na kifurushi chako, mfano umenunua cha smartphone eka user agent iwe android browser halafu jaribu kama itakubali.
jinsi ya kuchange user agent google mwenyewe kutokana na browser yako
Samahan wakuu nimewafuatilia toka mwanzo lakn bado mi naona chenga tu coz sina hi mismart phon wala nini mi nina nokia obama tu....ila naomba kujua kama nikiweka lain kwenye smart alafu nikajiunga je nikichukua lain nikaweka kwenye modem yangu ya airtel nitaweza namimi kula hayo maswitch ON?????????:shock::shock::shock: