Airtel Switch ON

Airtel Switch ON

Kumbe hii Huduma sio unlimited kama wanavyodai..kwa 900 wanatoa 1gb only. Sijui nikimbilie wapi
 
Wamesharekebisha mitambo uki connect kifaa cha nje inakula kwako

So ili kutumia unlimited inabidi utumie katika kifaa husika, kama ni simu or tablet.. No more hotspot or Modem


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
mojoki wewe ulitutengenezea "honeypot" ili kupata Mawazo na mipango yetu! Kwa umewatonya na sasa wamefunga! Daaaah kumbe inabidi tuwe makini tunavyochangia tusitoe vyote hadharani!
 
Last edited by a moderator:
mbaya zaidi hawasemi kama kuna limit ya kudownload
wana tangaza tu unlimited, unlimited their @$$$$.
 
Hamna mtandao wa simu wenye true unlimited zaidi ya bol na zantel bol bongo speed kimeo labda mkoa zantel kisu kirefu laki 3 parefu hawa airtel wezi tu unlimited gan ukidownload kidogo imekata
 
Tatizo nyie ndo mnakosea ukiambiwa unlimited inamaanisha katika kifaa unachotumia sio ukaunge na laptop

Katika tangazo la offer ya switch hamna sehemu wameandika laptop, computer kwa sababu hiyo offer sio kwa ajili ya computer


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Kwangu LUMIA 720 imetambuliwa kama FEATURE PHONE. Nikajiunga hivyohivyo cha ajabu napata Edge Tu...... Mambo ya kuweka line kwenye smart phone nyingine yamenishinda.

Na kuikweli hapa Tanga internet ya Airtel kama jongoo.....

Back to tiGooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo..........................
 
Nimeunganisha simu yangu jana kifurushi cha mwezi na baada ya kutumia kama 1.7gb speed imeshuka na imekuwa kama ya gprs tu.Damn you airtel.
 
Nadhani sote tunakosea terms and conditions za haka kauduma mmezisoma? Point ya kwanza kabisa inasema ths service ain't unlimited
 
Nadhani sote tunakosea terms and conditions za haka kauduma mmezisoma? Point ya kwanza kabisa inasema ths service ain't unlimited

Limited unlimited?
Nilikua loyal customer wa airtel...ila nimeanza kuangalia loyality yangu kwao.
 
Baada ya kujiunga na kifurushi cha Switch On nikatumia app ya Airtel "Airtel Care" kuangalia salio la bundle...Is there any difference between the two??
 

Attachments

  • 1403942674581.jpg
    1403942674581.jpg
    33.8 KB · Views: 112
Back
Top Bottom