Airtel ni wababaishaji

h120

JF-Expert Member
Jan 10, 2012
2,530
3,315
Ndugu wana jf hawa airtel ni wazushi kwenye tangazo lao wanasema buy airtel modem for 30000 and get free internet for 6 months. Na vigezo vyao ni kwamba utumie si chini ya 6000 ili upate hiyo offer lakini kusema kweli hii offer ni hewa sasa huu si ubabaishaji.
 
ubabaishaji is such a polite word. huu ni WIZI, tena wizi mkubwa tu. au labda definition ya free imebadilika?
 
Siwapendi hao kwa utapeli wao! Lakini kila mtu (mlaji au mtumiaji) ana haki ya kupeleka malalamiko TCRA.
 
matangazo yote mwishoni wanakwambia vigezo na masharti kuzingatiwa, huwa hamuelewi maan yake?
 
mi nilishangaa baada ya kununua Modem hamna kitu kama hicho, sasa nikajiuliza ni mimi tu au kuna vigezo vingine, Ni kosa kubwa sana kutoa ahadi za uongo kwenye biashara. Ila Tanzania mambo mtelemko.
 
bundle ya 2500 itaendelea kupatikana kwa wale watumiaji wa awali, ikimaanisha kama wewe ni mtumiaji mpya itabidi ujiunge na bundle nyingine kwa kupiga *154*44#
 
net yao kwangu imeshuka speed balaa na nipo kwenye 3G coverage!! cjui waba mashetani gan
 
Hii sio marketing strategy nadhani aliyeibuni ameidhalilisha sana Airtel kwani kila tangazo lao naloliona kupitia SMS zao nadelete bila kusoma kwasababu najua ni matapeli na hawana jipya.... Bahati mbaya tu kuna watu ninawasiliana nao na wana namba hiyo tu ningeshaitia kw dust bin....hivyo vigezo na masharti ambayo hayasemwi popote kw tangazo wala kw vipeperushi wala kwa watoa huduma kwa wateja Customer care ni wizi...
 
hata mimi yamenikumba baada ya kununua Moderm nikajua nitapata free internet for 6 monthes kumbe ni holaaaa
 
hata mimi yamenikumba baada ya kununua Moderm nikajua nitapata free internet for 6 monthes kumbe ni holaaaa
 
matangazo yote mwishoni wanakwambia vigezo na masharti kuzingatiwa, huwa hamuelewi maan yake?

na masharti yanatakiwa yaendane na maneno yao. definition ya free ni exempt from external authority, interference, restriction, etc., as a person or one's will, thought, choice, action, etc.; independent; unrestricted. masharti yanayoweza kuwekwa ili baado useme ni free ni labda kwa utumiaji (abuse) na hata muda ni ruksa (kama wanavyotoa free ya saa sita za usiku), ila ukishasema kwamba ulipie basi sio free tena. neno linalofaa ni offer ambayo maanake ni a proposal or bid to give or pay something as the price of something else, na since wanasema wanauza kwa bei che, wanatakiwe waseme wanapromotional offer au special offer ila kutumia jina free na kuweka masharti ni kutuibia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom