kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 266
Airtel tunashangaa mmebadilika ghafla kwenye vifurushi vyenu hata bila taarifa yeyote ni kwamba zamani mlikua mnatupa mb 400 kwa sh 2500 kwa kuandika neno internet kwenda namba 15444 ila kuanzia sasa huduma hiyo siipati kabisa na nikituma hiyo meseji inanigomea sasa sijui kunani?bora mngetutaarifu wateja wenu kwamba huduma hii mmeifunga au la mmebadilisha namba kwaajili ya kutoa huduma hiyo au mmeifuta kabisa kwani kwangu hiyo ndiyo huduma ambayo niliipenda na ilikua cheap sana kwa sisi wateja wenu hivyo tunaomba ufafanuzi juu ya suala hilo naomba kuwasilisha!