Airtel wametupeleka kwenye gharama za simu tunazosikia nchi jirani

Joshua justine

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
792
1,007
Hawa jamaa wametupeleka kwenye gharama za simu tunazosisikia huko kwenye mataifa jirani, gharama za juu za hovyo kabisa.

Hiki ni kiburi, ni aina ya ubepari ndani ya nchi yetu utokanao na kutokukemewa.

Ni vurugu tupu, mitandao haidhibitiwi kutwa kuwatumia wateja meseji za kibiashara pasipo ridhas ya mteja, halafu bei za vifurushi wakilala wakiamka wanabadiri bei, hii sio sawa kisheria.

Kisheria, mteja anapojiunga na mtandao wa kampuni fulani, watu anaowasiliana nao watamtambua kwa namba hiyo, huwezi kuharibu huduma ama kuzidisha gharama halafu mteja ahame tena aende mtandao mwingine, hizo namba za simu sio za watoto wa shule tu ni watu wazima wenye kuzitumia kwa kazi na biashara, airtel waache upumbavu wao, wanasheria mpo wapi, nchi za watu makampuni haya huwa na adabu huko maana anaibuka mjanja anaejua sheria anawashtaki mahakama ya biashara wanampa mtaji wa bure, huku kwetu yanafanya upumbavu wao yanavyojisikia, mashetani kabisa hayo!
 
Hawa jamaa wametupeleka kwenye gharama za simu tunazosisikia huko kwenye mataifa jirani, gharama za juu za hovyo kabisa.

Hiki ni kiburi, ni aina ya ubepari ndani ya nchi yetu utokanao na kutokukemewa.

Ni vurugu tupu, mitandao haidhibitiwi kutwa kuwatumia wateja meseji za kibiashara pasipo ridhas ya mteja, halafu bei za vifurushi wakilala wakiamka wanabadiri bei, hii sio sawa kisheria.

Kisheria, mteja anapojiunga na mtandao wa kampuni fulani, watu anaowasiliana nao watamtambua kwa namba hiyo, huwezi kuharibu huduma ama kuzidisha gharama halafu mteja ahame tena aende mtandao mwingine, hizo namba za simu sio za watoto wa shule tu ni watu wazima wenye kuzitumia kwa kazi na biashara, airtel waache upumbavu wao, wanasheria mpo wapi, nchi za watu makampuni haya huwa na adabu huko maana anaibuka mjanja anaejua sheria anawashtaki mahakama ya biashara wanampa mtaji wa bure, huku kwetu yanafanya upumbavu wao yanavyojisikia, mashetani kabisa hayo!
Ilaumiwe TCRA maana kabla yake gharama za vifurushi hasa internet zilikuwa za chini sana sasa sieleei waliiunda ili iweje
 
Tuanze kutumia wifi nyumba kwa nyumba bila hvyo hawa jamaa watatuzingua sana huko mbeleni wenzetu washaacha kutumia ma mb ya kujiunga jero jero yule January makamba ni mtu hatari sana siku akiwa raisi tutasaga meno.
 
Tuanze kutumia wifi nyumba kwa nyumba bila hvyo hawa jamaa watatuzingua sana huko mbeleni wenzetu washaacha kutumia ma mb ya kujiunga jero jero yule January makamba ni mtu hatari sana siku akiwa raisi tutasaga meno.
Kweli mkuu, kwa wenye uzoefu na mambo haya waje na alternatives, hakuna lisilowezekana hata kama kutakuwa na changamoto hiyo ni kawaida mwanzoni mwa jambo lolote,
 
Hawa jamaa wametupeleka kwenye gharama za simu tunazosisikia huko kwenye mataifa jirani, gharama za juu za hovyo kabisa.

Hiki ni kiburi, ni aina ya ubepari ndani ya nchi yetu utokanao na kutokukemewa.

Ni vurugu tupu, mitandao haidhibitiwi kutwa kuwatumia wateja meseji za kibiashara pasipo ridhas ya mteja, halafu bei za vifurushi wakilala wakiamka wanabadiri bei, hii sio sawa kisheria.

Kisheria, mteja anapojiunga na mtandao wa kampuni fulani, watu anaowasiliana nao watamtambua kwa namba hiyo, huwezi kuharibu huduma ama kuzidisha gharama halafu mteja ahame tena aende mtandao mwingine, hizo namba za simu sio za watoto wa shule tu ni watu wazima wenye kuzitumia kwa kazi na biashara, airtel waache upumbavu wao, wanasheria mpo wapi, nchi za watu makampuni haya huwa na adabu huko maana anaibuka mjanja anaejua sheria anawashtaki mahakama ya biashara wanampa mtaji wa bure, huku kwetu yanafanya upumbavu wao yanavyojisikia, mashetani kabisa hayo!
Leta ushahidi, vinginevyo tutasema unapika jungu!!?
 
Back
Top Bottom