Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Wadau toka juzi mtandao wa airtel unasumbua hasa maeneo ya mz na Geita hasa kwenye modem zinaconnet ila net inakuwa chini sana .kuna mwenye kujua tatizo ni nini?
Yeah ni kweli mkuu,
mimi nimenotice hili tatizo tokea alhamisi na jana ndio limenikwamisha
kabisa kufanya kazi zangu. Leo nimepanga kuamkia Vodashop kudaka modem
ya voda, ingawa bei yao ya internet ni mkasi