mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 623
- 430
Kwanza sijui ni kwa nini wanadhamini JF mimi nawaomba muwatoi hapo juu maana hawaact kama great thinkers. wameintroduce internet speed ya 3.75G halafu wanakwambia piga *154*44# ili kujiunga. ukipiga hiyo namba si kwa simu wala modem vyote vinakwambia haipo. Hivi hawa jamaa hawajui wanafanya nini? na bado nina hasira nao walivyonila hela zangu bila kunirudishia siku wamepandisha bei ya internet kiholela!kama hawawezi si wamuuzie manji? maana nasikia anataka kuanzisha kampuni ya simu sijui kwa kutaka kufanya ufisadi gani!