Sokomoko
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,915
- 127
Dah... tangu jana hakuna kinachotoka wala kuingia, si email, si web browser wala kupiga simu..
hakuna chochote zaidi ya wizi tu aisee, ngoja tuone watatuambia nini tutakapoomba print outs za call details
AIRTEL NI AIR TELE YANI HEWA TUPU, HAKUNA KITU, AU HATA TUITE UTUPU
Nadhani pengine tatizo lipo sehemu uliyopo labda network sio nzuri mimi nimekuwa na tatizo kwenye Blackberry Service lakini sasa hivi ipo faster ile mbaya ukilinganisha na mitandao mingine inayotoa huduma ya Blackberry Internet Service BIS.