AirTanzania first Airbus A220-300 gaining shape

AirTanzania first Airbus A220-300 gaining shape

Nasikia wa Canada tayari wapo nchini China kuchukua chao
January 2019 mama wa ndege za ATCL mheshimiwa dreamliner anaanza safari za China mara tatu kwa wiki.
Mawakala wa shetani jiandaeni kuhara.
 
Airbus ...... Bomberdier C series 300 ???
Hiyo model ya bomberder imenunuliwa na Airbus na inatengenezewa Marekani

Hii ni baada ya Boeing kufile lawsuit against bomberder kwenye price war
 
Uchumi umekufa unaleta ndege za mapambo za kazi gani?
 
kweli kabisa kwani juzi nimeona wakina mama wajawazito hospitali ya chalinze wanalala wawili wawili kwenye kitanda kimoja!!lazima wapate tabu sana!!
Si bora walikuwa hospital sio vichakani, chadema tafuteni kazi Za kufanya mziki huu ni extra miles Kwa upoe wa Mugabe wenu Mbowe....
 
Back
Top Bottom