mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,260
- 12,867
Low bussiness = lossDisaster for what
Low bussiness = lossDisaster for what
Kwani tunashindanaHivi mwana Chatto, Tandahimba,Uvinza,Tukuyu,wanajua maana ya airbus!? Bora ndege za kati,kutawanya watalii na WaTz. Kubwa hatuwezi shinda na na mashirika ya nje kama Emirates, tungeingia nao ubia at free tupokee wageni,hata kuwachangia bure korosho pekee on aboard.
Lazima watu wafe kwa presha
Zi siume kwa nini wakati wanaona kodi za babu,bibi,baba zao zinachezewa au mnadhani ni pesa ya lumumba?Chadema watanuna sana kwa taarifa hii
Vipi zile smelters 10 za kuchenjua Makinikia zimefikia wapi?Kampuni za Boeing,Airbus zikiamua kuanza kusukia ndege Africa basi chaguo lao kwanza itakuwa Tanzania
Hiyo itakua "another national economic disaster." ...mpaka sasa dreamliner ina paa kwenye nchi ya Dar mwz na Arusha....
hizi ndege ni bomu la hasara na ufisadi litakalopasuka kwa mshindo mkuu
ni swala la muda tu
Hivi mwana Chatto, Tandahimba,Uvinza,Tukuyu,wanajua maana ya airbus!? Bora ndege za kati,kutawanya watalii na WaTz. Kubwa hatuwezi shinda na na mashirika ya nje kama Emirates, tungeingia nao ubia at free tupokee wageni,hata kuwachangia bure korosho pekee on aboard.
hayo madude mtayapeleka wapi?
Hayo mandege ni mzigo tu!!Kenya route ya US imewashinda alafu nyinyi ndio mnakurupuka kuanzisha route bila hata kufanya utafiti!!January 2019 mama wa ndege za ATCL mheshimiwa dreamliner anaanza safari za China mara tatu kwa wiki.
Mawakala wa shetani jiandaeni kuhara.
Uchumi umekufa unaleta ndege za mapambo za kazi gani?
Nitafurahi kama utanitajia route ya Dreamliner na faida inayopatikanayaani hapo roho zinawakereketa mpaka basi
Watapata tabu sana wazungu weusi
Hayo mandege ni mzigo tu!!Kenya route ya US imewashinda alafu nyinyi ndio mnakurupuka kuanzisha route bila hata kufanya utafiti!!
Wale ni Kenya na sisi ni Tanzania huwezi tofautisha potentiality. Kwa vivutio Tanzania hana mpinzani hapa Africa halafu wewe wataka tusifanye yanayotuhusu kwa kuangalia alivyofeli jirani, huo ndo upuuzi kila mtu anastratejiki zake katika biziness mkuu.Hayo mandege ni mzigo tu!!Kenya route ya US imewashinda alafu nyinyi ndio mnakurupuka kuanzisha route bila hata kufanya utafiti!!
"Air Tanzania’s first Airbus A220-300, previously known as the Bombardier CSeries 300"#AirTanzania first #Airbus #A220-300 gaining shape
View attachment 942029
PICTURES OF NEW AIRCRAFT BEGIN TO EMERGE SHOWING ADVANCED STATE OF ASSEMBLY
(Posted 19th November 2018)
View attachment 942032
(Picture courtesy of Fliegerfaust.com)
The delivery of Air Tanzania’s first Airbus A220-300, previously known as the Bombardier CSeries 300, is now definitely coming closer to reality, after pictures emerged showing the paintwork has now been completed.
The aircraft will be delivered in an all economy cabin layout – at least that was the initial order – and will be the first such plane then registered and flying in Africa.
View attachment 942043