AirTanzania first Airbus A220-300 gaining shape

AirTanzania first Airbus A220-300 gaining shape

First ndege hii ilikuwa iko under licence ya bombardier ambao ndio watengenezaji wa ndege hii.
Bombardier waliuza hisa zao kwa airbus.. na part ya makubaliano ili waruhusu airbus kubadilisha brand ya ndege kutoka CS300 to A220-300.
"Air Tanzania’s first Airbus A220-300, previously known as the Bombardier CSeries 300"
FAFANUA HII SEHEMU PLEAZE
 
Hiyo itakua "another national economic disaster." ...mpaka sasa dreamliner ina paa kwenye nchi ya Dar mwz na Arusha....
Mtanyooka tu na vimaneno vyenu! Eti economic disaster!!! How? Kama Fastjet zipo mbili na zinafanya kazi hapa hapa na wanatoboa iweje ATCL washindwe na si watoa support rupo? Mbona Dreamliner tunalidandia kila siku na linajaa? Acheni hizo! Hongera my President kwa kututoa kimasomaso.
 
Hiyo itakua "another national economic disaster." ...mpaka sasa dreamliner ina paa kwenye nchi ya Dar mwz na Arusha....
Dude hilo hapo. Shikamoo JPM.
IMG_20181123_094711.jpeg
 
Back
Top Bottom