Hiyo tabia mbona ipo muda mrefu...? Na watu tumelizwa sana hapo airport na hao jamaa.
Na wahasibu ndo wameoza zaidi ya wote....... Wachakachuaji wakubwa kwa hiyo na yeye kakumbana na wenzake.
Nikiwa muathirika mkuu wa jambo hili limeniuma sana tena sana na sijui watanzania wangapi washafanyiwa hili jambo. Nikiwa miongoni wa wasafiri na kusubiri mizigo yetu pale sehemu ya kukusanyika mizigo nami nilikua na ka TV kangu nimekuja nacho kumbe sikua peke angu na kulikua na wazungu nao walikua na ma music system na vifaa vya electronic vyingine.
Baada ya kupakia kwenye kitoroli changu nikasimama nyuma ya wale wazungu hapo ndo wakaja watu wawili mmoja akajitambulisha kama TRA na mwengne kama ofisa usalama nikawauliza shida yao wakanijibu hii tv ukailipie ushuru nikamwambia sawa but na wale wazungu pia wakalipie ushuru music system zao yule jamaa wa TRA akaja juu wewe usituchagulie mtu wa kulipa ushuru nikamjibu mimi ni mhasibu na najua wajibu wa kulipa kodi so waite na wale walipe otherwise nitatafuta haki mbele ya safari akauchuna na kuondoka zake huku akinitazama kwa jicho la ushenzi. Nilipo muhadithia jamaa yangu mmoja ambae ni mhasibu pia akaniambia wale ni wababaishaji na sijui hata kama ethnic ya uhasibu wanaijua.
My take,
Serikali pamoja na watu wa idara ya mapato tupieni jicho airport maana kuna ushenzi wa hali ya juu
Kitilya hafanyi lolote kwani unadhani hajui anayajua vizuri sana,kuna yule mama pale ndio mkubwa wao yule mwenye vijiguu kama kuni za nyongeza ndio kisirani,nilikwenda na rice cooker ya kg1 nikamwambia mwambia niya mdogo wangu yuko shule alinambia lete risiti nikamwambia sina basi nenda pale kalipia yule jamaa atakuandikia,alinikera nikamwambi aiwache nipe risiti nikirudi ntaichukua..Ni kweli nilishuka na emirates bt sitakomea kwao nitahakikisha hili suala namfikishia kitilya
Nikiwa muathirika mkuu wa jambo hili limeniuma sana tena sana na sijui watanzania wangapi washafanyiwa hili jambo. Nikiwa miongoni wa wasafiri na kusubiri mizigo yetu pale sehemu ya kukusanyika mizigo nami nilikua na ka TV kangu nimekuja nacho kumbe sikua peke angu na kulikua na wazungu nao walikua na ma music system na vifaa vya electronic vyingine.
Baada ya kupakia kwenye kitoroli changu nikasimama nyuma ya wale wazungu hapo ndo wakaja watu wawili mmoja akajitambulisha kama TRA na mwengne kama ofisa usalama nikawauliza shida yao wakanijibu hii tv ukailipie ushuru nikamwambia sawa but na wale wazungu pia wakalipie ushuru music system zao yule jamaa wa TRA akaja juu wewe usituchagulie mtu wa kulipa ushuru nikamjibu mimi ni mhasibu na najua wajibu wa kulipa kodi so waite na wale walipe otherwise nitatafuta haki mbele ya safari akauchuna na kuondoka zake huku akinitazama kwa jicho la ushenzi. Nilipo muhadithia jamaa yangu mmoja ambae ni mhasibu pia akaniambia wale ni wababaishaji na sijui hata kama ethnic ya uhasibu wanaijua.
My take,
Serikali pamoja na watu wa idara ya mapato tupieni jicho airport maana kuna ushenzi wa hali ya juu. Na sitalifungia jicho hili suala nitahakikisha namfikishia kitilya alivalie njuga