Aircraft Maintanance

Aircraft Maintanance

Je kutembea kwa ndege kabla ya kupaa na baada ya kutua, kuna tofauti gani na jinsi gari linavyotembea?
 
Sk soko lake kwa haoa tanzania likoje kuhusu hiyo kozi.. na pia soko la ajira kimataifa likoje ?
Na pia kuisoma hiyo course kwa level ya degree inachukua muda gani?
 
Ninaweza ku Google na kupata jibu, ila kwa faida ya wengine pia..

Je, ndege kama A319 ( Fastjet ) inaweza kutumia wastani wa lita ngapi ya mafuta kwa flight ya Dar to Mwanza, ikiwa na abiria kama 100 hivi, na asilimia ngapi ya hayo mafuta yanatumika wakati wa kunyanyuka ( take off ) na asilimia ngapi inapo cruise forward, % ngapi wakati wa kutua ?
 
Back
Top Bottom