Air hostess precision air wanalipwa kiasi gan?

Air hostess precision air wanalipwa kiasi gan?

Ndugu wewe hujapata bahati ya kuruka na mapipa ya kimataifa mara kwa mara nini? Nauliza hivi kwa sababu kuna imani potofu imeenea Bongo kuwa wahudumu wa ndege ni lazima wawe na sura nzuri na umri mdogo! Kama umewahi kuruka kimataifa mara kwa mara nahitaji sitahiji kukufundisha juu ya hili!
Nani kaongelea sura nzuri hapa? Halafu umeelewa hapa subject ni nini? au unataka ujulikane kuwa na wewe huwa unapanda ndege za kimataifa mara kwa mara?
 
Nani kaongelea sura nzuri hapa? Halafu umeelewa hapa subject ni nini? au unataka ujulikane kuwa na wewe huwa unapanda ndege za kimataifa mara kwa mara?
Mbongo kwa ubishi!
Bado hawajazeeka tu? Maana wakati fulani ATCL ilikua ma wazee tupu wanaishia kujisiliba ma-foundation/Puti tu usoni. Precisions ndiyo kulikua na visu hasa, ila karibuni hali ikanadirika ghafla sasa hivi Precissions ndiyo wanajipiga mafoundation kama wamerogwa vile. Nikajua tayari wameshazeeka nao.
 
Sura nzuri au mbaya ipo wapi hapo kwenye quotes ulizoleta? You are to young to Tango. Uwe unaelewa logics before you chip in.
kafi ka ndope!!
Bado hawajazeeka tu? Maana wakati fulani ATCL ilikua ma wazee tupu wanaishia kujisiliba ma-foundation/Puti tu usoni. Precisions ndiyo kulikua na visu hasa, ila karibuni hali ikanadirika ghafla sasa hivi Precissions ndiyo wanajipiga mafoundation kama wamerogwa vile. Nikajua tayari wameshazeeka nao.
 
Hao mabinti diploma holders,mazingira ya kazi yanawafanya waonekane thaman.
 
Nimepanda dreamliner ina watoto uner 22 yule mkubwa wao ndo ana kama 20 hivi
 
My salary is Y my expenses are Z ndiyo mwendo wa mambo so usiulize kuhusu mshahara
 
Sura nzuri au mbaya ipo wapi hapo kwenye quotes ulizoleta? You are to young to Tango. Uwe unaelewa logics before you chip in.
kafi ka ndope!!
Mkuu "kafi ka ndope" ni tusi la kilugha gani hicho?
Kama ni kikwetu basi ni tusi kubwa sana jipya la nguoni, lakini halijazoeleka masikioni mwa watu.
 
wakuu kuna mtoto mzur sana anafanya kazi iyo kampun ya ndege precision air

najalibu kutia mistali, ila uyo mtoto wa ukweli sana, pamba mpya daily

hivi wanalipwa kiasi gan?

maana uyo mtoto kwa mapigo yake yananifanya ni waze mengi
Acha domo zege wewe,unatishika na pamba mpaka unakuja kuuliza mshahara wake!
mijitu mioga utaijua,kumuingia mwanamke kunataka utulivu ,hayo ya pamba kali sijui ananukia yasikutishe,ulitaka awe anavaa kaniki?
 
wakuu kuna mtoto mzur sana anafanya kazi iyo kampun ya ndege precision air

najalibu kutia mistali, ila uyo mtoto wa ukweli sana, pamba mpya daily

hivi wanalipwa kiasi gan?

maana uyo mtoto kwa mapigo yake yananifanya ni waze mengi
Mzee baba huu uzi bila picha ni kama pilau bila nyama,halinogi!!
 
Back
Top Bottom