Bado hawajazeeka tu? Maana wakati fulani ATCL ilikua ma wazee tupu wanaishia kujisiliba ma-foundation/Puti tu usoni. Precisions ndiyo kulikua na visu hasa, ila karibuni hali ikanadirika ghafla sasa hivi Precissions ndiyo wanajipiga mafoundation kama wamerogwa vile. Nikajua tayari wameshazeeka nao.
😀😀😀😀😀😀😀wewe umeshawahi kupanda ndege? au mbwembwe tu za kichadema
