wakuu kuna mtoto mzur sana anafanya kazi iyo kampun ya ndege precision air
najalibu kutia mistali, ila uyo mtoto wa ukweli sana, pamba mpya daily
hivi wanalipwa kiasi gan?
maana uyo mtoto kwa mapigo yake yananifanya ni waze mengi
Mkuu ulishafika bei?
Lakini wanaume tuna vigezo kila kabila linapofika suala la kushobokea mwanamke!
Uone unavyojibanza nyuma ya mavazi yake badala ya kuwa tu muwazi kuwa umependa!
Kuna mwanamke hapa Tz anayevaa sana na kubadili mavazi kila siku, tena pamba za bei mbaya kama Alice Tuppa wa Millard Ayo on line Tv?
Maana kama ni mavazi ni mtaalamu wa kuvaa! Kila siku muonekano mpya na kamwe harudii vazi.
Ukimuona analo leo, hautamuona nalo tena maisha!
Hadi nikawa najiuliza, kuna utaratibu huo labda wa kiofisi!
Je mavazi ya kugeuzageuza kila uchao ni yaofisi ama yake! Na kama ni yake, basi ana behewa zima la mabelo ya nguo!
Ni zaidi ya mke wa marehemu Chiluba rais mst wa Zambia. Lakini watu hatudati.
Sasa jomba habari ya mavazi kuna watu wanavaa usimlinganishe, hapo wewe umevutiwa na mishepu tu hauna lolote.
Na unatakiwa ukiri kwa kinywa chako kwamba umempenda kwa ajili ya uzuri wake na si kwa mavazi.
Maana ya Mungu mengi wawezakuta siku moja unamvua hayo mavazi yake ambayo umempendea, sasa utabakiza nini mikononi mwako kama si yeye bila mavazi!
Unavyomsononekea ndiyo sala yenyewe, ambayo Mungu anaweza akaijibu.