Maxmizer JF-Expert Member Aug 14, 2016 4,806 4,215 Sep 13, 2018 #61 Alexander The Great said: Mi nlishakoswa na dasta la kufutia ubao kwa kulala, lilipita juu ya kichwa kama radi Hasa kwenye somo la hesabu, ilikua mishe, nlikua kama vile naangalia movie ya kichina bila subtitle Click to expand... Hahahaha usiombe ukutane na ticha wa maths alafu yupo shalow, tulikua tukimuona anakuja tunaambiana picha la kihindi linaanza sasa hivi
Alexander The Great said: Mi nlishakoswa na dasta la kufutia ubao kwa kulala, lilipita juu ya kichwa kama radi Hasa kwenye somo la hesabu, ilikua mishe, nlikua kama vile naangalia movie ya kichina bila subtitle Click to expand... Hahahaha usiombe ukutane na ticha wa maths alafu yupo shalow, tulikua tukimuona anakuja tunaambiana picha la kihindi linaanza sasa hivi
Alexander The Great JF-Expert Member Aug 28, 2018 4,502 23,582 Sep 13, 2018 Thread starter #62 Maxmizer said: Hahahaha usiombe ukutane na ticha wa maths alafu yupo shalow, tulikua tukimuona anakuja tunaambiana picha la kihindi linaanza sasa hivi Click to expand... Kwanza hawa walimu wa hesabu hua hata hawacheki yani
Maxmizer said: Hahahaha usiombe ukutane na ticha wa maths alafu yupo shalow, tulikua tukimuona anakuja tunaambiana picha la kihindi linaanza sasa hivi Click to expand... Kwanza hawa walimu wa hesabu hua hata hawacheki yani
Alexander The Great JF-Expert Member Aug 28, 2018 4,502 23,582 Sep 13, 2018 Thread starter #63 Lord eyes said: Mbona wapenda mauzo kwa mademu ili aonekane mkali mbona huja ambatanisha Click to expand... Kwenye kujibu maswali hua wanatulia wenyewe tu mkuu, maswali hayanaga ubishoo
Lord eyes said: Mbona wapenda mauzo kwa mademu ili aonekane mkali mbona huja ambatanisha Click to expand... Kwenye kujibu maswali hua wanatulia wenyewe tu mkuu, maswali hayanaga ubishoo
Alexander The Great JF-Expert Member Aug 28, 2018 4,502 23,582 Sep 14, 2018 Thread starter #64 Maxmizer said: Duuu hawa back benchaView attachment 864975 Click to expand... Hapo ndo wamesha chaguliwa kujibu maswali, memory card zishaji format kichwani sasa Kila waki download material, file zina corrupt tu
Maxmizer said: Duuu hawa back benchaView attachment 864975 Click to expand... Hapo ndo wamesha chaguliwa kujibu maswali, memory card zishaji format kichwani sasa Kila waki download material, file zina corrupt tu
Alexander The Great JF-Expert Member Aug 28, 2018 4,502 23,582 Sep 17, 2018 Thread starter #65 Kanungila Karim
RuwaIkunda Senior Member Nov 2, 2017 156 279 Sep 17, 2018 #68 fundi bishoo said: huwa sijibu nilikua nakata nyuma namtajia mwenzangu anajibu anapata maujiko ila likija pepa nakimbiza afu nafanya ka sielewi vile ila mungu si athumani nimeishia form 4 daah Click to expand...
fundi bishoo said: huwa sijibu nilikua nakata nyuma namtajia mwenzangu anajibu anapata maujiko ila likija pepa nakimbiza afu nafanya ka sielewi vile ila mungu si athumani nimeishia form 4 daah Click to expand...
RuwaIkunda Senior Member Nov 2, 2017 156 279 Sep 17, 2018 #69 Alexander The Great said: Mi nlishakoswa na dasta la kufutia ubao kwa kulala, lilipita juu ya kichwa kama radi Hasa kwenye somo la hesabu, ilikua mishe, nlikua kama vile naangalia movie ya kichina bila subtitle Click to expand...
Alexander The Great said: Mi nlishakoswa na dasta la kufutia ubao kwa kulala, lilipita juu ya kichwa kama radi Hasa kwenye somo la hesabu, ilikua mishe, nlikua kama vile naangalia movie ya kichina bila subtitle Click to expand...
Faana JF-Expert Member Dec 12, 2011 31,919 33,360 Sep 17, 2018 #70 Kwanini namba 6 na 8 wameweka rangi zinazofanana
Mzee Kigogo JF-Expert Member Jun 3, 2018 8,365 13,672 Sep 17, 2018 #71 Back bencher everyday all the time!
Stephen Ngalya Chelu JF-Expert Member Oct 31, 2017 7,621 16,373 Sep 17, 2018 #72 Mimi huwa sipendi kuongea ongea tu bila mpango. Huwa nachuna tu labda hadi mwalimu anitaje.
Alexander The Great JF-Expert Member Aug 28, 2018 4,502 23,582 Apr 22, 2021 Thread starter #73 Mzee Kigogo said: Back bencher everyday all the time! Click to expand... Wengi wanaotusua maishani walikuwa ma back bencha.
Mzee Kigogo said: Back bencher everyday all the time! Click to expand... Wengi wanaotusua maishani walikuwa ma back bencha.