Aina za wanafunzi pindi swali likiulizwa darasani na mwalimu. Je, wewe ulikuwa yupi kati ya hawa?

Mi nlishakoswa na dasta la kufutia ubao kwa kulala, lilipita juu ya kichwa kama radi


Hasa kwenye somo la hesabu, ilikua mishe, nlikua kama vile naangalia movie ya kichina bila subtitle
Hahahaha usiombe ukutane na ticha wa maths alafu yupo shalow, tulikua tukimuona anakuja tunaambiana picha la kihindi linaanza sasa hivi
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom