Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,747
- 50,145
We huna sifa hata Moja zilizotajwa hapo 😁😁aliyekuweka ndani kazi anayoUmpate wapi? Wewe kibuzi malika 😂😂😂
We huna sifa hata Moja zilizotajwa hapo 😁😁aliyekuweka ndani kazi anayoUmpate wapi? Wewe kibuzi malika 😂😂😂
ILa ndio raha yangu hiyoo na nina imudu for over 15 years nowHapo huna mke una Kihoroo
15yrs? Kwamba 2009 ndo ulioa?😁 Ulioa ukiwa form six?ILa ndio raha yangu hiyoo na nina imudu for over 15 years now
Braza watu tumetoka mbali sanaa15yrs? Kwamba 2009 ndo ulioa?😁 Ulioa ukiwa form six?
🙌🙌🙌Mlikutanaje Kwa mara ya kwanzaBraza watu tumetoka mbali sanaa
High school nikiwa Tosa boys Yeye akiwa Lugalo girls iringa .Mambo ya joint mass🙌🙌🙌Mlikutanaje Kwa mara ya kwanza
Uwezekano ni mkubwa wa mtu kama huyo kutulia maana kama Mlikutana katika kipindi ambacho yawezekana hata hajui kama mapenzi yanatesa... maana wadada wa kipindi hiko hawakuwa na mambo mengi unakuta mtu ana 25yrs afu kifuani saa 5:56 hajawahi ingia kwenye mahusianoHigh school nikiwa Tosa boys Yeye akiwa Lugalo girls iringa .Mambo ya joint mass
Yeah uko sahihi. Hata hiyo point yangu hapo juu kwenye uzi ni katika chai tu za JF.Uwezekano ni mkubwa wa mtu kama huyo kutulia maana kama Mlikutana katika kipindi ambacho yawezekana hata hajui kama mapenzi yanatesa... maana wadada wa kipindi hiko hawakuwa na mambo mengi unakuta mtu ana 25yrs afu kifuani saa 5:56 hajawahi ingia kwenye mahusiano
Kaka na mimi naanza kuhudhuria joint mass😂High school nikiwa Tosa boys Yeye akiwa Lugalo girls iringa .Mambo ya joint mass
Ushachelewa wewe. Pambana na Pm za vijana wa hovyo humu jukwaan, jichagulie mwenye afadhaliKaka na mimi naanza kuhudhuria joint mass😂
Saa 5:56 ndo nn😃😃Uwezekano ni mkubwa wa mtu kama huyo kutulia maana kama Mlikutana katika kipindi ambacho yawezekana hata hajui kama mapenzi yanatesa... maana wadada wa kipindi hiko hawakuwa na mambo mengi unakuta mtu ana 25yrs afu kifuani saa 5:56 hajawahi ingia kwenye mahusiano
😁😁😁We bado mdogo ukikua utajuaSaa 5:56 ndo nn😃😃
😁😁😁We bado mdogo ukikua utajua
Unamchukulia poa! Mara nyingi wanamionekano pasonoNikipata no 8 naweka ndani
Namba 8 utampata wapi wakati wote walishaolewa.Nikipata no 8 naweka ndani
Inaweza kua kwel na inaweza isiwe kwelYupo hapo mtaani kwako is ilikuwa tu
Unamchukulia poa! Mara nyingi wanamionekano pasono
🤣🤣Kwani mm nipoje mkuu?Namba 8 utampata wapi wakati wote walishaolewa.
Chukua namba 3 mkuu maana kwa ulivyo wewe namba 2 hamtawezana ( namba 2 wengi hutokea Kilimanjaro hasa hapo Kibosho)
Namba tatu itaipata Dar, Same, Lushoto, Njombe na ewaaa Ukerewe)