Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,944
Kaka yangu hana shida ya pesa ndogondogo ya kuhonga 🤣Ila sio kwa kumkausha blood namnahiyo duuh!
Kaka yangu hana shida ya pesa ndogondogo ya kuhonga 🤣Ila sio kwa kumkausha blood namnahiyo duuh!
Sasa kama ikiachwa hela kubwa unaibalance upate ya kupeleka kwenye upatu afu home tunakula mchicha, huoni ni busara ukapewa pesa inayotosha kununua mchicha?😂soda unayokunywa Aaliyah naomba iwe tamu na ya baridi kabisa, 😂😂
Eti afu tatu..? afu tatu inanunua nini sahii Mac Alpho haitoshi hata fungu la mchicha tajiri wangu..!!😂
😂😂😂Sasa kama ikiachwa hela kubwa unaibalance upate ya kupeleka kwenye upatu afu home tunakula mchicha, huoni ni busara ukapewa pesa inayotosha kununua mchicha?😂
Aaàaaaa Usituseme bwana kazi zetu Zina tulipaOngezea
VICHECHE hawa hua wako tayari kutoa tunda hata kwa muuza Sumu za Panya na viroboto,ili mradi tu awe ameonja kila aina ya Ndizi.