Aina za vitambi na sababu zake

Aina za vitambi na sababu zake

Haha ila wewe umeamua kuwananga ndugu zetu wenye vitambi

Kwamba hawapendeki au?
Hapana, sio hawapendeki. They are human beings, and they deserve all the love in the world. Ila I thought you would understand me by speaking in indirect way, ila naona hunielewi. Well, let me get my point clear, ujumbe ninao jaribu kuufikisha kwako ni kwamba "Mwenye kitambi adeal na mwenye kitambi mwenzie", na sisi tusio na vitambi tu deal na wasio na vitambi wenzetu. Fair play.

Tusije kupinduana kwenye majimbo huko mbeleni mwa safari, watu wakapata presha na kisonono halafu tukaja kupeana lawama bure za kuvunja mahusiano ya watu.
 
Hapana, sio hawapendeki. They are human beings, and they deserve all the love in the world. Ila I thought you would understand me by speaking in indirect way, ila naona hunielewi. Well, let me get my point clear, ujumbe ninao jaribu kuufikisha kwako ni kwamba "Mwenye kitambi adeal na mwenye kitambi mwenzie", na sisi tusio na vitambi tu deal na wasio na vitambi wenzetu. Fair play.

Tusije kupinduana kwenye majimbo huko mbeleni mwa safari, watu wakapata presha na kisonono halafu tukaja kupeana lawama bure za kuvunja mahusiano ya watu.
Hahaha you brat! Better stop it, I get it very clear lakini you have your limitations and you are free to chose whoever you want, and so do they, let them enjoy that right, wasio na vitambi wanaweza kuwa na wenye vitambi and vice versa.
 
Hahaha you brat! Better stop it, I get it very clear lakini you have your limitations and you are free to chose whoever you want, and so do they, let them enjoy that right, wasio na vitambi wanaweza kuwa na wenye vitambi and vice versa.
Well, bado nakupinga, tena nakupinga in capital letters huh. Tena usinishawishi niazishe hash tag ya "#FAT PEOPLE's LIVES MATTER."

I'm Joking.
 
sikuwezi, hiyo hashtag imenifanya nicheke, why are you this cold to fat people, there must be a reason behind sio bure
Ma'am, hio #Hash Tag tu umecheka mpaka huku nilipo nimekusikia. Sasa nikikupa sababu za kwanini i'm being cold hearted (As you say, but i deny all the allegations) towards them fat people. Trust me, unaweza ukalazwa na kupigwa drip 3 za kustabilize mapigo yako ya moyo sambamba na dose ya kuondoa maumivu ya mbavu zako.

I have a little history with them kuanzia Primary mpaka University, nikianza kukuelezea sitomaliza.

One fateful day that i will never forget, nliwahi kumtania classmate wangu kibonge kipindi nipo primary grade 3, aliniwasha konzi moja zito kisawasawa kwenye sikio la kushoto, unayajua makonzi yale mazito ukipigwa lazima kichwa kifanye Emergency Back Up Ya Files Zote & Memory na kuji Restore katika Factory Settings.??? Siku tatu nlikua nahisi ganzi kwenye hilo sikio. For three days i had to be touching my ear every now and then to confirm that bado lipo n halija chomoka.
 
Tiririka faida hapa maana mleta mada yeye amezungumzia hasara za vitambi, sasa tuzungumze na faida ili tusiwakatishe tamaa ndugu zetu
OK,kwanza kitambi ni public opinion, mama mwwnye mimba anatumia tumbo lake kufutia kioo smart phone yake,mwenye kitambi siku zote haitwi handsome boy,anakuwa ameepuka Yale mambo ya tuma na ya kutolea though sla y Queen wanatuzonga sana.
Hakuna msee mwenye kitambi akakosa doo.
 
Si mtu mwenye kitambi, ila sina fikra potofu na unyanyasaji juu ya wale wenzetu wenye vitambi (kwa lugha za vijana "watu wenye mgeni"). Bali ni mchambuzi tu wa kina kwenye maswala ya kijamii.

Katika maisha yangu, sijawahi kusikia kuna mtu ambae ameamka saa 11 asubuhi, na kuweka nia ya kufanya juhudi kuongezeka kitambi, au kusema "nataka niongezeke kilo 100 safari hii" na kuonesha msisiitizo wa kuanza papo hapo kutekeleza hio nia.

Watu huanza kuwa wabaguzi pindi mtu anapopata kitambi au kunenepa, huanza kusema "ushakua bonge, wewe hivi, wewe vile". Ushauri, nani anajali? Ridhika na jinsi ulivyo tu. Tena kama vipi kiambie hicho kitambi "Naona umeanza kuchomoza mgeni, karibu sana, itabidi tu nikupende na nitakutunza kwa juhudi zoteee!"

Wengine hukimbilia kufanya "dayati", ila nimegundua dayati ni kwa ajili tu ya wale wanene waliouchoka unene wao. Kwani hakuna kitu kinacholeta mawazo potofu kama masaa ya kwanza ya kufanya dayati, siku ya pili hua afadhali ya jana.

Wengine hukimbilia kufanya mazoezi ya kukimbia masafa marefu, tatizo la mazoezi haya pale unapotambua kua mwili wako hauna shepu ya kukuunga mkono (yani kukusapoti) kuendelea kukimbia ujue ushafika umbali mrefu ambako kurudi tena ulipotoka hata kwa kutembea ni kasheshe, utaishia kupanda bajaji muda wa kurudi!

Kama hujachoka kitambi chako, mikono juu

NA HIZI NDIO AINA ZA VITAMBI

1) KITAMBI MCHUCHUMIO

Hiki kimekaa kama herufi "D". Eti kinatokana sana sana na kula michemsho na bia za ofa.
View attachment 866048

2) KITAMBI MTEPETO
Eti ni kitambi cha wastani hivi, kinakua kama tairi yenye pancha, ambacho mtu akivaa nguo panapana hakionekani. Hichi hakina madhara kwa mmiliki, kipo katika vile vitambi "least harmful" kabisa.
View attachment 1803461

3) KITAMBI MVURUGO
Hiki kitambi kimekaa kama herufi "0". Kinapatikana sana kwa kula kitimoto kushushia na bia.
View attachment 866050

4) KITAMBI MTUNGUO
Hichi wanacho sana wadada. Kina umbo kama yai vile. Kwa "dayati" hakitoki labda kwa maombi maalum ya kufunga.
View attachment 1803464

5) KITAMBI MBONYEO
Kitovu hakionekani. Eti kina sababishwa sana kwa kula "rushwa" ila akisimamishwa tu kazi, kinaisha chenyewe.
View attachment 1803448

Changia ya moyoni, kama huna cha kuchangia gonga "LIKE" kuwapa sapoti wenye ugeni!!!
Hawa wanene hivi kuwasindikiza kwenye safari yao ya mwisho kwa kubeba sanduku walimolalia kama hauendi Gymn husijaribu kusaidia.
 
Ma'am, hio #Hash Tag tu umecheka mpaka huku nilipo nimekusikia. Sasa nikikupa sababu za kwanini i'm being cold hearted (As you say, but i deny all the allegations) towards them fat people. Trust me, unaweza ukalazwa na kupigwa drip 3 za kustabilize mapigo yako ya moyo sambamba na dose ya kuondoa maumivu ya mbavu zako.

I have a little history with them kuanzia Primary mpaka University, nikianza kukuelezea sitomaliza.

One fateful day that i will never forget, nliwahi kumtania classmate wangu kibonge kipindi nipo primary grade 3, aliniwasha konzi moja zito kisawasawa kwenye sikio la kushoto, unayajua makonzi yale mazito ukipigwa lazima kichwa kifanye Emergency Back Up Ya Files Zote & Memory na kuji Restore katika Factory Settings.??? Siku tatu nlikua nahisi ganzi kwenye hilo sikio. For three days i had to be touching my ear every now and then to confirm that bado lipo n halija chomoka.
I see, no wonder umeanzisha mpaka uzi kumbe its been created in your mind since childhood

Hilo kwenzi liliingia mpaka kwenye ubongo sio bure

You still have a chance to take the positive side of them fat men, sema unene mwingine ni wa kujitakia, unakuta mtu bonge ana mwili kama wa pita halafu anakula sahani nne za chipsi mayai
 
Hawa wanene hivi kuwasindikiza kwenye safari yao ya mwisho kwa kubeba sanduku walimolalia kama hauendi Gymn husijaribu kusaidia.
Uwe umebeba mbele kabisa kwenye sanduku, halafu ghafla wa pembeni yako na wa nyuma yako waondoke ili kubadilishana na wengine. Lazima mzigo ukuelemeee na uharibu safari, hapo kuadhirika ni lazima kama sio kutoa boko.
 
I see, no wonder umeanzisha mpaka uzi kumbe its been created in your mind since childhood

Hilo kwenzi liliingia mpaka kwenye ubongo sio bure

You still have a chance to take the positive side of them fat men, sema unene mwingine ni wa kujitakia, unakuta mtu bonge ana mwili kama wa pita halafu anakula sahani nne za chipsi mayai
IMG-20210322-WA0007.jpg
 
Aaaaah Sincerely iiiiiissshhhhh that hurts alot. Dont make me feel guilty now bana. Dah, You just got my emotions running wild now.

Lord forgive me of my sins, i admit I am young and a sinner, but you love all of your children.
Am not judging you at all, and you did nothing wrong, naamini huu uzi ulikua na lengo la kuelimisha na kufurahisha vilevile,

So its good kwamba we will get to learn namna ambavyo hawa watu wanajisikia katika jamii and perhaps we can find a good way to help or advice or even encourage them tunapokutana nao kwenye jamii zetu.
 
Back
Top Bottom