super black Boy
Senior Member
- Oct 15, 2019
- 135
- 169
Habarini wanajamvi. Nilikuwa nahitaji kufahamu kuwa kwa hapa Tanzania kuna aina gani za ugali zinapatikana hapa bongo na aina zipi kati ya hizo zinapendwa sana na watu!!
Binafsi nafamu ugali wa sembe na Dona Je wewe mwenzangu unafahamu zipi na Je upishi wake ukoje??
Binafsi nafamu ugali wa sembe na Dona Je wewe mwenzangu unafahamu zipi na Je upishi wake ukoje??