Aina za Ubani na kazi zake

Aina za Ubani na kazi zake

Kuna makundi makuu mawili ya ubani ambayo ni ubani wa mambo ya kheri na ubani wa mambo ya shari visasi na malipizi

Kundi gani la kheri na kundi lipi la sharii, tujuze ndugu yangu
 
Heading za ivo zinanipaga shida sana, nikajua wewe ndio utaziainisha hapa kumbe unaliza swali. Napendekezea lifunguliwe jukwaa la maswali

kwakweli mi mwenyewe nimejiandaa kusoma na kutana na hili tatizo, abadilishe kichwa cha habari
 
1.Ubani wa kawaida huu unatumika sana makanisani.

2.Ubani makkah huu unatumika sana pindi watu wanapofanya maombi yao (dua) pia unaweza kuuchoma ndani kwa ajili ya kupata tu harafu nzuri ndani ya nyumba.

3.Ubani mashtaka huu hutumika zaidi kwenye mambo ya kiganga

kiujumla kuna zaidi ya aina kumi za ubani
 
Hodi hodi hodi . Ubani upo wa aina mbili wenye harufu mzuri na wenye harufu mbaya . Kuna viumbe kama binadam hupenda huo wenye harufu mzuri ama mashetani hupenda huo wenye harufu mbaya .laikini pia ni chakula cha mashetani kwa hiyo hutumika katika kuwaita mashetani ili kuwatuma kazi malumu kama kumwita alie mbali au kumtuma kazi zingine kwa mikatab malumu .....nk
 
Kuna ubani au udi hutumiwa na wenzetu kujifukiza kule kwao...zaidi tusubiri mfungo uishe
 
Muda mwingine nacheka bila kujua ni nini nachekea kumbe nakumbuka comments jf.

Hahaha, ubani mashtaka ndiyo unakuchekesha au?
Huwa nasikia sawa kauli - namshtakia Mungu. Labda ubani unahusika hapo!
 
Muda mwingine nacheka bila kujua ni nini nachekea kumbe nakumbuka comments jf.

Hahaha, ubani mashtaka ndiyo unakuchekesha au?
Huwa nasikia sawa kauli - namshtakia Mungu. Labda ubani unahusika hapo!
 
1.Ubani wa kawaida huu unatumika sana makanisani.

2.Ubani makkah huu unatumika sana pindi watu wanapofanya maombi yao (dua) pia unaweza kuuchoma ndani kwa ajili ya kupata tu harafu nzuri ndani ya nyumba.

3.Ubani mashtaka huu hutumika zaidi kwenye mambo ya kiganga

kiujumla kuna zaidi ya aina kumi za ubani

Zipi hizo tutajie
 
Mmh ndugu yangu wida hata hili ni la kuuliza kweli?

Nahitaj kufaham nisije nunua ubani nachoma ghafla watu waanze kuguta kelele mala maimuna mala wida bora niulize
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom