Aina za Ubani na kazi zake

Aina za Ubani na kazi zake

wida

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2014
Posts
247
Reaction score
40
Aina za ubani na kazi zake, maana hutumika sehemu mbali mbali.
Naombeni kufahamu aina za ubani na kazi yake
.
 
kuna ubani makka ubani mashtaka hizi ndo najua mimi nyingine sjui
 
Heading za ivo zinanipaga shida sana, nikajua wewe ndio utaziainisha hapa kumbe unaliza swali. Napendekezea lifunguliwe jukwaa la maswali
 
Huo mashtaka ni wa kufanyia mashtaka?

hahahhahah hata mimi hua nawaza hilo kwa kweli sijui sio mtaalam sana wa mambo haya hizo nilizotaja pia nililfanya kuskia nikiwa karibu na duka mtu akiuliza hizi aina za ubani akatajiwa hizo ila sikuweza kuuliza kwa nini au kazi zake nikaendelea na mambo yangu
 
hahahhahah hata mimi hua nawaza hilo kwa kweli sijui sio mtaalam sana wa mambo haya hizo nilizotaja pia nililfanya kuskia nikiwa karibu na duka mtu akiuliza hizi aina za ubani akatajiwa hizo ila sikuweza kuuliza kwa nini au kazi zake nikaendelea na mambo yangu

kwani kuna ubaya ukisema kama we ndo muuzaji wa ubani?
 
Mimi ninaujua ubani msuba,ubani ngada,ubani wida,kuna ubani mwingine huku kwetu unaitwa marley the 'bob',sambamba na ubani hang-over,bila kuusahau ubani mrungi huu unapendwa sana na madereva wa magari makubwa,..Ubani mwingine siutaji polisi watanitafuta maana wanapenda sana ubani..
 
Aina za ubani na kazi zake, maana hutumika sehemu mbali mbali.
Naombeni kufahamu aina za ubani na kazi yake
.

Kuna makundi makuu mawili ya ubani ambayo ni ubani wa mambo ya kheri na ubani wa mambo ya shari visasi na malipizi
 
Heading za ivo zinanipaga shida sana, nikajua wewe ndio utaziainisha hapa kumbe unaliza swali. Napendekezea lifunguliwe jukwaa la maswali

Samahan kama nimekosea kwa upande wako ila nivema ukanibainishia
 
Mimi ninaujua ubani msuba,ubani ngada,ubani wida,kuna ubani mwingine huku kwetu unaitwa marley the 'bob',sambamba na ubani hang-over,bila kuusahau ubani mrungi huu unapendwa sana na madereva wa magari makubwa,..Ubani mwingine siutaji polisi watanitafuta maana wanapenda sana ubani..

Daaah brother vibaya hivyo
 
Back
Top Bottom