kukaliwa kuchwani ujue, hakuna raha kama masikizano baina ya wana ndoa. Utaifurahia nyumba na utaishi umri mrefuPotelea mbali,kuliko kukaliwa kichwani.
Shida yangu iko kwa mwanamke anaetoka huko alikotoka kanuna halafu hasira anamalizia nyumbaniYaan sio
kukaliwa kuchwani ujue, hakuna raha kama masikizano baina ya wana ndoa. Utaifurahia nyumba na utaishi umri mrefu
Yaan wanaume jaman. Ila uko sawa halo ila bhana unibebembeleze had I nikueleweShida yangu iko kwa mwanamke anaetoka huko alikotoka kanuna halafu hasira anamalizia nyumbani
Kwakweli hatutaelewana.ila ukikasirika kwa kua nimekuuzi mimi,basi nitafikiria kidogo namna ya kukuweka sawa.ila nikikubembeleza kidogo uwe mwelewa,sio nikubembeleze sana maana
Nitagaiti.
Sasa si mpaka nikuite mamy! Yaani itategemea na kosa,nyie mna mauzi! Acha kabisa.huyo mwanamke nitakaempata itabidi niishi nae kwanza kabla ya ndoa,ili tusomane vizuri kwanza.ila wewe inaonekana unadeka,sasa ole wako!Yaan wanaume jaman. Ila uko sawa halo ila bhana unibebembeleze had I nikuelewe
Sio unasema basis mamii yaishe ufikiri umebembeleza
dekezwa sanaSasa si mpaka nikuite mamy! Yaani itategemea na kosa,nyie mna mauzi! Acha kabisa.huyo mwanamke nitakaempata itabidi niishi nae kwanza kabla ya ndoa,ili tusomane vizuri kwanza.ila wewe inaonekana unadeka,sasa ole wako!
Endelea kubembelezwa mama,kama unae wa kukubembelezaNa napenda k
dekezwa sana
Hahahahahah yaan halo ndo nasikia raha nikibebembelezw
Asante sana, ninae kwa kweli na ndo nafurahia haswaaaEndelea kubembelezwa mama,kama unae wa kukubembeleza
Yeah! mkuu ndo yeye. Mabinti wamkoa huu wanaroho ngumu nikwenda nao kibishi kibishi tu.aisee..ndio yule shemeji Yetu wa juzi ....daaahh hao wahvyo cjawahi kutana nao mkuu
mkoa gani huo mkuu!!?Yeah! mkuu ndo yeye. Mabinti wamkoa huu wanaroho ngumu nikwenda nao kibishi kibishi tu.
Bahati nzuri sana huwa sikasiriki kirahisi. Kwahiyo ukitaka kunikera ujipange kwelikweliOoh! Una hasira nzuri, ningekuwa nakukera mara kwa mara.
Mara nyingi kwangu ni no 1 nalia sana lkn sasa huwa nashangaa nyege zinapotokea nakuwa na nyege vibaya na nikibembelezwa tu itapigwa game kabambeee
adolay
Muulize huyo nilomuita hapomm sasa nahs mishipa husika imekufa!yaan unamaanisha alokukera akiomba game mnalipiga????hongera
Muulize huyo nilomuita hapo
Huku machozi huku dyudu ipo kinywani aiseee wacha nijicheke tu
Na sijuagi kwanini wanawake wanakasirika kasirika,sipatagi jibu,ila mimi mtu akikasirika akiwa karibu na mimi anaweza kufa,maana nitazidi kumkasirisha hadi aijue hasara ya hasira na apate kuitambua faida ya furaha1) Kuna mwanamke ambaye akikasirika huishia kulia tu
2) Lakini mwingine akichukia huongea sana muda wote mpaka ikukere
3) Mwanamke mwingine akikasirika ananuna, haongei, mtapishana kimya kimya mawasiliano kibubububu shavu limejaa kama kobra!
4) Mwingine akishikwa na hasira period ya ghafla ghafla inafuata
5) Kuna wanawake ambao ole achukie. Atachokishika usipokimbia anakutandika nacho halafu majuto baadaye
6) Mwanamke mwingne akikasirika, hasira zake zinaishia kwenye kuvunjavunja vyombo au saa nyingne kugombezagombeza wafanyakazi na watoto. Dizain hii huwa ni wale waliokosa kukidhiwa haja za kihisia na waume zao!
7) Mwanamke mwingne ole akasirike mtajuana kitandani panapo majaaliwa. Nakwambia utaungama yote
8) Kuna ambao wakitibuliwa hukimbia kufunga mabegi na kuondoka
9) Wapo ambao wakikasirika wanagoma kupika
10) Wengne wakikasirika wanaamua kwenda kulala kimya
11) Wanawake wengne wakikasirika tumbo linakata mpaka kupelekea kuharisha
12) Wapo ambao wakishikwa na hasira huingia kwenye maombi na kuugua kusikowezwa kutamkwa. Uchungu ukiisha wananawa uso na kwenda sokoni kuendelea na majukumu
13) Yuko ambaye akishikwa na hasira hucheka saana, hutajua kama amekasirika. Dizaini hii ni hatari sana anaweza kukudhuru kirahisi.
Je wewe unajijua uko kundi gani?
Wote tunatambua kama hasira hasara basi nyie waume zetu ukiona mke wako ili jambo limemkera na limemkasirisha tafuta mbinu yoyote yakuweza kulitatua tatizo na kumfanya mkeo aachane na zile hasira arudi ktk hali ya kawaida.
Sio mume umemkasirisha mkeo basi unajiona wewe ndio kidume hata kumbembeleza imekushinda sivyo ivyo hata mume unatakiwa kuwa MbunifuU sio kila siku ubembelezwe wewe tu hata mkeo ana nafasi yake katika ndoa.
Mwanamke ni dhaifu sana unaweza kufanya kitu kidogo tu na hasira zikaisha.
Tupendane, tuhurumiane, tusameheane, ili tufike mbali katika ndoa zetu.