Aina ya viongozi wa nje wanaoitembelea Nchi yetu awamu hii inasononesha

Nafkiri tusiwakatae marafiki wanaokuja lakini tujiulize huyubaba hana ukaribu na watu wenye mafanikio makubwa duniani? Hatumwonl na kina Bill Gates,Carlos Slim ama wajapani wenye technolojia na sayansi ya viwanda. Kilasiku kina kagurita,kagamire,kamwigabe kweli kuna viwanda hapa ama kuna kung'ang'ania waitihausi. Nikama mtu akwambie anataka kupambana awe professa alafu kutwa anazurura na kina wema,stivu nyenyere nk. kweli?
 
Viongozi "wa maana" ni lazima watoke kwa mabwana zetu wa zamani kama Waingereza na mabwanyenye kama hayo? Haya ndiyo Mwalimu, akisaidiwa na Paul Sozigwa, alikuwa anaita "mawazo ya kukanyagwa".

Kagame ni kiongozi wa maana karibu kuliko wote duniani wakati huu. Ameweza kuitoa nchi katika vita na kuielekeza kwenye maendeleo ya haraka na ubora wa maisha wa kuigwa. Anaheshimiwa sana na hao unaoita viongozi wa maana.

Lazima tubadilike. Dhana ya kuona viongozi wa maana ni wale wa nchi zilizoendelea ni ya mawazo ya kufugwa.
 
Wakuu mambo yanayotokea katika nchi hii kwa sasa hayawezi kupita bila kujadiliwa .

Hakuna kiongozi yeyote wa maana aliyetembelea nchi yetu tangu awamu ya 5 ianze , kisa ni nini ? Kwanini wageni wote wanaokuja Tanzania ya leo wana makandokando ?

Kwa mfano , kutembelewa na madikteta mashuhuri barani Africa , Kagame na Museveni haikuwa picha nzuri kwa dunia , hata yule " Msela , mla bata " Mfalme wa Morroco hakuwa na hadhi ya kiungwana ya kupokelewa ndani ya nchi yetu kwa shangwe kiasi kile , ukiacha kiongozi wa Turkey ambaye hata hivyo kutokana na matatizo ya nchini kwao , hawezi kuwa msaada kwa nchi yetu , wengine wote wanatufedhehesha tu .

Nakulilia Tanzania .
Kwani wewe ulitaka aje nani ndiyo unufaike?mseveni amesaini maradi mkubwa wa Bomba la mafuta kutoka Hoima,Uganda mpaka Tanga,Tanzania.Mradi utatoa ajira zaidi ya 1400 na tutaingiza zaidi ya Tshs bilioni 4.8 kwa siku.Nauliza tena je,unataka wageni wa aina gani watutembelee?au umeathirika na ngozi nyeupe?watanzania,so pathetic.
 
Subirini Chadema iingie madarakani... Ben saa nane jana angemuona Rais wa Uganda, hajavaa tai Nyekundu, Ben mzee wa itifaki
 
Anna Kilango aliharibu wapi na amehamishiwa wapi ? Chunga maneno yako mkuu .

You are so good in matching items question. Safari za Rais, ukusanyaji wa kodi wauza Ngada, tume ju ya tume, madili TPA, TRA PPRA match na hii ili tuwekane sawa. Kikwete alipewa kila aina ya majina Leo ooooh bora JK kumbukeni kejeli zenu kwake. Kazi mbaya ulionayo, ukiipoteza hiyo utaiita kazi nzuri. Kila mmoja ana jema na ubaya wake. Tulioyapigia kelele ndio JPM ana effect nayo. Appreciation comes when u r no more. Marehem anasifa njema kuliko alivyokua hai
 
Jibu swali ulitaka waje wale wenye sera za kutetea ushoga ndio roho yako inge kuwa kwatu?

Biashara ya bomba la mafuta tunayoifanya na Uganda huioni? Na Uganda kama hujui wana zalisha sukari kupita kiwango chao cha mahitaji yao ya ndani. Tujiulize kisa cha kuagizia sukari yetu kutoka Brazil ni nini? Au kuagizia saruji kwa nchi jirani na Afghanistan ni nini hasa?

Na washawasha!



Sasa ni biashara gani mtafanya na nchi iliyochoka kama Uganda ? Maana mmekwisa sema tusiuze mihogo wala madafu nje ya nchi tutakamatwa , sasa ni tekinolojia gani mnaweza kubadilishana na wachovu hawa ? Nchi ambayo zana za uokozi kwenye matetemeko na vifusi ni machepeo na sululu !
 
Unawaza kututajia madudu ya Kagame tuyajue ila tujifunze
Kwa ufupi sana , unyama uliotendwa na kagame dhidi ya wapinzani wake unatisha , ameuwa na kufunga gerezani kila aliyempinga , orodha ni ndefu , Mkuu wake wa zamani wa Majeshi aliyekimbilia South Africa , amenusurika kuuawa mara 2 hadi pale alipoonywa na Zuma .

Amebadili katiba ili aendelee kutawala Rwanda Milele , hii ni kwa vile usalama wa Kagame kwa unyama aliotenda unategemea urais wake tu , nje ya urais hana usalama . Kwa vyovyote vile hata uwe na uwezo kiasi gani lakini kuamini kwamba ni wewe tu unayeweza kuongoza nchi kwa ufanisi inaweza kuwa ni kichaa ambacho badala ya kuacha uendelee na uongozi ni afadhali upelekwe hospitali .
 
Hao kina kagame na museveni ndo saizi yetu, urafiki na marekani au Japan ni unafiki tu. Better kina kagame ambao matatizo yetu yanafanana kuliko kujiunga na mtu aliekutangulia nusu millenium sana sana atakua ananiambia nini cha kufanya na sio kushauriana, miradi mingapi inakuja na masharti ya kiduanzi kutoka KWA HAO WA MAANA?
 
[QUOTEmkuu. Kweikwega, post: 19891857, member: 69148"]Dikteta, kafanya Rwanda Mali yake[/QUOTE]

Safi mkuu. Kweli hata Libya "Dikteta" Gadafi (Kanal and everlasting Komred of my heart) Libya "alifanya" mali yake. Lakini "wanademokras" people power ikamuondoa my Kanal na sasa wako huru wakifaidi "Democracy" walioipigania. They are free enjoying the Vacuum of Kanal Muhamal Gadaff. Nenda kwa Kagame kaone nchi iliyo mali "yake" ilivyo
 
Watz hamna shukran,kipnd cha baba ridhwani mlisema kuwa ,wanakuja wanyonyaji mfano ziara ya rais mstaafu bush wa marekana,mkazusha kapewa maeneo ya ardhi kwa msaada wake wa vyandarua,kuwen na shukran,jengen utamadun wa kupongeza mazur na sio ku base kwene lawama tuu
Ndugu,,,,hatukumaanisha hivi
 
Viongozi "wa maana" ni lazima watoke kwa mabwana zetu wa zamani kama Waingereza na mabwanyenye kama hayo? Haya ndiyo Mwalimu, akisaidiwa na Paul Sozigwa, alikuwa anaita "mawazo ya kukanyagwa".

Kagame ni kiongozi wa maana karibu kuliko wote duniani wakati huu. Ameweza kuitoa nchi katika vita na kuielekeza kwenye maendeleo ya haraka na ubora wa maisha wa kuigwa. Anaheshimiwa sana na hao unaoita viongozi wa maana.

Lazima tubadilike. Dhana ya kuona viongozi wa maana ni wale wa nchi zilizoendelea ni ya mawazo ya kufugwa.
Umeandika upande mmoja tu , pamoja na hayo mazuri unayodai kagame anayo lakini hana haki hapa duniani wala ahera ya kujimilikisha urais wa Rwanda , na kuua ama kufunga kila mwenye mtazamo tofauti .
 
Wakuu mambo yanayotokea katika nchi hii kwa sasa hayawezi kupita bila kujadiliwa .

Hakuna kiongozi yeyote wa maana aliyetembelea nchi yetu tangu awamu ya 5 ianze , kisa ni nini ? Kwanini wageni wote wanaokuja Tanzania ya leo wana makandokando ?

Kwa mfano , kutembelewa na madikteta mashuhuri barani Africa , Kagame na Museveni haikuwa picha nzuri kwa dunia , hata yule " Msela , mla bata " Mfalme wa Morroco hakuwa na hadhi ya kiungwana ya kupokelewa ndani ya nchi yetu kwa shangwe kiasi kile , ukiacha kiongozi wa Turkey ambaye hata hivyo kutokana na matatizo ya nchini kwao , hawezi kuwa msaada kwa nchi yetu , wengine wote wanatufedhehesha tu .

Nakulilia Tanzania .
Subiria sana kama unaota kuwa Trump au Putin atakuja Tanzania siku moja.
 
Back
Top Bottom