Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,110
- 3,269
Ok bac nitakuwa makini nachoKinacho fua umeme kwenye pkpk
Ok bac nitakuwa makini nachoKinacho fua umeme kwenye pkpk
t-better ndo pikpik bora kati ya zote za kichina na india zinazokuja hukuNahitaji kuwa na Pikipiki mpya ya kununua kwa ajili ya kutembelea. Hvi ni aina gani nzuri kwa maana ya ubora life span, na bei nafuu kati boxer na SNLG au Pikipiki nyingine (bodaboda)
hero spea hakuna..boxer ndo homa kabisanunua boxer au hero hutojutia maamuzi yako
Chukua sanya mzee
Kitu cha ukweli alafu bomba mbili kama mark x *****
Speed ya kishada alafu zutu kiduchu au cku mambo magumu unalinywesha hata mtori au mchemsho wa kibororoni
Admin today is the 30th , please try and pay our salaries as members of this group or else we will go on strike. Thank You*Nenda pale City Motors ununue Ag200. Ni tsh million 10 na laki 4 tu
Mnadanganyana! Mashine hiyo hapo!SANLG na Sanya ukitumia miezi 6 zinanza kupukutika zenyewe. Ni pikipiki za ovyo sana na soko lake kwa sasa limeshuka. Sidhani kama mtu mwenye akili timamu atanunua hizo pikipiki na kuacha pikipiki kama BOXER, TVS,YAMAHA na HONDA Ace 125.
Hehehe huyo kweli farasi.....moro wa kuotea mbaliMnadanganyana! Mashine hiyo hapo!
Nakushauri ununue SANYA 125 Y ni pikipiki nzuri sana kwa kazi na ubora hata ukilinganisha na SANLG bado sanya ni bora zaid SANLG wanauzia jina na uenyeji wao kwenye soko lakin SANYA ina balance nzuri zaid ,lakin kwa kutembelea kama ni mjini mjini ssio mashamban na barabara za vumbi boxer ndio kiboko inatereza tu barabaran.Nahitaji kuwa na Pikipiki mpya ya kununua kwa ajili ya kutembelea. Hvi nibalancni nzuri kwa maana ya ubora life span, na bei nafuu kati boxer na SNLG au Pikipiki nyingine (bodaboda)
Nani alikudanganya kuwa hakuna pikipiki nzuri kama boxer? Au kwa vile ndio ulio nayo? Bixer ni msala kwa mazingira mengi ya nchi yetu kwanza linachagua engine oil ukitumia sana oil zetu zinazo patikana kila sehemu halikawii kufuka moshi wakati michina hii inapiga tu bila shida boxer ni delicate sana aisee parts zake ukimistake kidogo zishalubadilikia inga ni pkpk nzuri sana kwa town route.Acha kupotosha amna pikipiki nzuri kama Boxer. Pikipiki ikisasa hivj zinaiga muundo wa boxer.
Boxer ina nguvu na speed ndio maana zinatumiwa kwa uhalifu.
Boxer haina mitetemo wala kwenye rough road hairukiruki kwasababu ina shock ups imara na nzuri.
Mkuu kama utakua na picha na specification ya hiyo Ag200 naiombaNenda pale City Motors ununue Ag200. Ni tsh million 10 na laki 4 tu
Mkuu c mshauri bora atafute hata ka passo kuliko kutafuta tb kwa kupigwa na upepoMkuu kama utakua na picha na specification ya hiyo Ag200 naiomba
Kama upo sehemu za mjini, nunua Boxer-150, lakini kama aupo katika miji mikubwa achana nayohero spea hakuna..boxer ndo homa kabisa
Du!! Lita moja km 70!! Huwa unaibeba mgongoni nn mkuu.mi ninayo pikipiki aina ya hero naitumia huu mwez wa wangu wa 3 na iko poa sana, lita moko kwa kilometa 70
'Ina mwendo mzuri na speed ya ukweli'.. Ahsante mswahili mwenzanguBoxer ni nzuri kwa barabara za lami, pia boxer ina mwendo mzuri na speed ya ukweli.
Boxer ni kifaa cha kazi aisee, unadunda nayo mwaka mzima bila kubadili chochote zaidi ya oil. Pikipiki za kichina ni feki ndio maana spea zake zinauzwa kama karanga.Nani alikudanganya kuwa hakuna pikipiki nzuri kama boxer? Au kwa vile ndio ulio nayo? Bixer ni msala kwa mazingira mengi ya nchi yetu kwanza linachagua engine oil ukitumia sana oil zetu zinazo patikana kila sehemu halikawii kufuka moshi wakati michina hii inapiga tu bila shida boxer ni delicate sana aisee parts zake ukimistake kidogo zishalubadilikia inga ni pkpk nzuri sana kwa town route.
Ivi kati ya TVS 125 CC na boxer-150 BMBoxer ni kifaa cha kazi aisee, unadunda nayo mwaka mzima bila kubadili chochote zaidi ya oil. Pikipiki za kichina ni feki ndio maana spea zake zinauzwa kama karanga.