Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,982
- 4,164
Katika pikipiki ndogo zilizopo Tz, boxer 150 ndo ya kijanja ila sio nzuri kwa off road.Ivi kati ya TVS 125 CC na boxer-150 BM
Ipi ni nzuri sana kwa Kibiashara nijuze apo mkuu
Katika pikipiki ndogo zilizopo Tz, boxer 150 ndo ya kijanja ila sio nzuri kwa off road.Ivi kati ya TVS 125 CC na boxer-150 BM
Ipi ni nzuri sana kwa Kibiashara nijuze apo mkuu
Shineray zina usumbufu sana... Binafsi nimepitia uzoefu, na siajabu hata wewe unataka kusukumia Mwenzako huo msala. Alafu linakula mafuta hiloo....nunua shine ray naiuza laki nane tu ile 150cc na ni piki piki binafsi husumbuliwi barabarani kama hizo bodaboda inahitaji matengenezo kidogo tu haijatumika muda mrefu ni piki piki ngumu na heshima barabarani mkuu nicheck au wasap 0762612213
soma ni lini mkuu ishauzwa ulitaka ile majiShineray zina usumbufu sana... Binafsi nimepitia uzoefu, na siajabu hata wewe unataka kusukumia Mwenzako huo msala. Alafu linakula mafuta hiloo....
Unaweza nitumia pics zakenunua shine ray naiuza laki nane tu ile 150cc na ni piki piki binafsi husumbuliwi barabarani kama hizo bodaboda inahitaji matengenezo kidogo tu haijatumika muda mrefu ni piki piki ngumu na heshima barabarani mkuu nicheck au wasap 0762612213
duuuh angalia na uzi wa lini mkuu ilishauzwa kitambo hadi nimeisahau na rangi yakeUnaweza nitumia pics zake
inategemea na aina ya hiyo pikipiki na matumizi yako, kuna hero down cc 100 na cc 125, cc 100 ni 1.5m na cc 125 ni 1.8milion...
Hii kitu mkataba! Ninayo mwaka wa kumi na tano sasa bado inapiga mzigo
Kweli kabisa. Nina Hero dawn ina muda mrefu imekufa magneto sijapata.Pkpk ambazo ni user friendly kwa sehemu kubwa ya nchi yetu ni china brand maana popote itakapo korofisha na chochote itakacho korofisha utapata kwa ukaribu na mafundi ni wengi ,sasa hizo zingine aisee ikisumbua hata taa tu aisee kupata kwake kama sio jijin basi mkoan ,kwenye wilaya humo ni shiida utakuta una ipaki mwez mzima ndani kisa magneto tu
Ni lazima kutumia neno *****Boxer kiboko yake mvua
Maji yakiingia tu kwenye magneto wewe ndo unapaswa kulibeba sasa na lilivyo zito kama tairi la damper zile za migodini *****
Hilo dude Ag200 nalikubali sana sema bei tu!Nenda pale City Motors ununue Ag200. Ni tsh million 10 na laki 4 tu
Subutu nani kasema sunlg inauzwa mil 1.6? Sunlg ni pikipiki imara kuliko boxer, sun pia ni pikipiki inayo imili hali zote boxer ni pikipiki ya starehe na spera zake ni ghali ukilinganisha na boxer, sunlg inatengenezeka pia kuliko boxer, boxer ikichoka ndo imetoka hiyo, chukua sunlg mkuu zipo hadi 150 bei mil 2.2 km haitoshi nunua Aojue ni pikipiki toleo jipya na imara sana utojuta.Kwa kuzingatia hivyo vigezo ulivyotaja
Chukua boxer.
Pia kwa nyongeza Boxer haitumii mafuta sana kama zilivyo pikipiki zingine mfano snlg uliyoitaja, Hapo nimechukulia zote ni cc150.
Kwa kigezo cha bei Boxer si chini ya Milioni 2, wakati snlg waweza kupata kwa 1.6m.
Kama fedha haitoshi kwa boxer, ni vyema ukavuta subira ili uongezee na kuchukua Boxer 150cc
Hii pikipiki inabei sawa na gari ofisini zilinunuliwa dollar 3700 each!
TVs ndio habari ya mjini broohabar wakuu nataka ushauri nataka kununua pikipiki binafs kwa ajili ya bodaboda ipi iko vizur kat ya boxer 150 na tvs150
kwanzia engine
fuels
speed
rough road
na appearance