Aina ya Pikipiki nzuri

kwa mkoa wa dar na pwani vinapatikana kwa wingi kwa mawakala wao ila mikoani ndio changamoto, ila vipuri vyake vingi vinaingiliana na vipuri vya pikipiki ya boxer
 
Umeshawahi kutumia boxer? Nataka kununua ila nahitaji uzoefu kwa hii pikipiki.
Pkpk ambazo ni user friendly kwa sehemu kubwa ya nchi yetu ni china brand maana popote itakapo korofisha na chochote itakacho korofisha utapata kwa ukaribu na mafundi ni wengi ,sasa hizo zingine aisee ikisumbua hata taa tu aisee kupata kwake kama sio jijin basi mkoan ,kwenye wilaya humo ni shiida utakuta una ipaki mwez mzima ndani kisa magneto tu
 
Chukua boxer kaka hutajuta na ukikosa sana Honda ace iko vizuri. zote ulaji wa mafuta uko vizuri, speed na zimekaa vizuri
 
Acha kupotosha amna pikipiki nzuri kama Boxer. Pikipiki zote sasa hivj zinaiga muundo wa boxer.
Boxer ina nguvu na speed ndio maana zinatumiwa kwa uhalifu.
Boxer haina mitetemo wala kwenye rough road hairukiruki kwasababu ina shock ups imara na nzuri.
Tatizo hujanielewa ndii maana sijasema boxer si nzur na wala sina lengo la kupotosha aisee kwa maana mimi si mpotoshaji boxer zinafanya vizuri kwenye barabara za mjini (barabara nzuri ,lami nk.) Lakin si kwa maeneo ya baraba za vumbi na mbovi huwa hazivumilii sana kama sanya na sanlg boxer ni luxury kuhusu ubora wala sija pinga hilo umenielewa tofauti.
 
Tatizo hujanielewa ndii maana sijasema boxer si nzur na wala sina lengo la kupotosha aisee kwa maana mimi si mpotoshaji boxer zinafanya vizuri kwenye barabara za mjini (barabara nzuri ,lami nk.) Lakin si kwa maeneo ya baraba za vumbi na mbovi huwa hazivumilii sana kama sanya na sanlg boxer ni luxury kuhusu ubora wala sija pinga hilo umenielewa tofauti.
SANLG na Sanya ukitumia miezi 6 zinanza kupukutika zenyewe. Ni pikipiki za ovyo sana na soko lake kwa sasa limeshuka. Sidhani kama mtu mwenye akili timamu atanunua hizo pikipiki na kuacha pikipiki kama BOXER, TVS,YAMAHA na HONDA Ace 125.
 
nunua shine ray naiuza laki nane tu ile 150cc na ni piki piki binafsi husumbuliwi barabarani kama hizo bodaboda inahitaji matengenezo kidogo tu haijatumika muda mrefu ni piki piki ngumu na heshima barabarani mkuu nicheck au wasap 0762612213
 
Tatizo hujanielewa ndii maana sijasema boxer si nzur na wala sina lengo la kupotosha aisee kwa maana mimi si mpotoshaji boxer zinafanya vizuri kwenye barabara za mjini (barabara nzuri ,lami nk.) Lakin si kwa maeneo ya baraba za vumbi na mbovi huwa hazivumilii sana kama sanya na sanlg boxer ni luxury kuhusu ubora wala sija pinga hilo umenielewa tofauti.


boxer hata vifaa vyake bei nunua pikipiki ya kichina mkuu sio boxer kama pesa yako ya kukabana LUXURY ZINA RAHA NA HASARA
 
SANLG na Sanya ukitumia miezi 6 zinanza kupukutika zenyewe. Ni pikipiki za ovyo sana na soko lake kwa sasa limeshuka. Sidhani kama mtu mwenye akili timamu atanunua hizo pikipiki na kuacha pikipiki kama BOXER, TVS,YAMAHA na HONDA Ace 125.
Hapana ndugu nina uzoefu wa kutosha na hivyo vyombo ndugu nina ongea ninacho ki practice hayo huwa ni maneno ya vijiwen tu kuhusu hizo pikipiki za mchina ni kweli hazina ubora kama hizo ulizo ziainisha hapo lakin pia hazina ubovu au uhovyo kama ulio uainisha hapo mkuu, nina uzoefu wa kutosha sana na hivi vyombo ingawa hata wewe pia waweza kuwa na uzoefu lakin yapasa ufanyie uhakika.
 
Hapana ndugu nina uzoefu wa kutosha na hivyo vyombo ndugu nina ongea ninacho ki practice hayo huwa ni maneno ya vijiwen tu kuhusu hizo pikipiki za mchina ni kweli hazina ubora kama hizo ulizo ziainisha hapo lakin pia hazina ubovu au uhovyo kama ulio uainisha hapo mkuu, nina uzoefu wa kutosha sana na hivi vyombo ingawa hata wewe pia waweza kuwa na uzoefu lakin yapasa ufanyie uhakika.
Na ndio maana nimependekeza majina hayo mawili sanya au sanlg na sio toyo wala kiboko,wala fecon na zinginezo.
Kwa pikipiki za mchina hayo makampuni mawili ndio wanajitahid kwa kiasi.
 
Jamani naomba tukumbuke kuwa asilimia kubwa ya vitu tunavyotumia vinatoka china, hivyo unaweza ukamkataa mchina kwasababu unapesa ya kununua pikipiki ya gharama. Hata Ulaya na Marekani wamempiga sana vita mchina ila anazidi kuingiza bidhaa zake kwao na watu wananunua. Me nafikiri angalia mazingira yako yote, me najua vitu vya kichina ni jinsi vile utakavyotumia. Kama unataka pikipiki ya kudunda kwenye mawe nenda kwenye brand kubwa ila kuendesha kwa ustaarabu hazina shida. Kingine ni matengenezo kama hufanyi matengenezo itakufa mapema tu. Tuko pamoja wakuu.
 
Nipo sehemu zenye barabara mbovu balaa, milima na mabonde na natumia boxer zaidi ya mwaka sasa tangu niinunue sijawah kutengeneza chochote kile zaidi ya service za kawaida tu.........bado sijashawishika kununua pikipiki nyingine zaidi ya boxer..........nilishatumia mchina kabla na haikumaliza mwaka nikaipga bei mana nilishachoka kununua spare kila Sikh!
 
Pkpk ambazo ni user friendly kwa sehemu kubwa ya nchi yetu ni china brand maana popote itakapo korofisha na chochote itakacho korofisha utapata kwa ukaribu na mafundi ni wengi ,sasa hizo zingine aisee ikisumbua hata taa tu aisee kupata kwake kama sio jijin basi mkoan ,kwenye wilaya humo ni shiida utakuta una ipaki mwez mzima ndani kisa magneto tu
Magneto ndo kifaa gani mkuu ili nikiwa naiosha niwe napachunga sana maji yasiingie
 
Nipo sehemu zenye barabara mbovu balaa, milima na mabonde na natumia boxer zaidi ya mwaka sasa tangu niinunue sijawah kutengeneza chochote kile zaidi ya service za kawaida tu.........bado sijashawishika kununua pikipiki nyingine zaidi ya boxer..........nilishatumia mchina kabla na haikumaliza mwaka nikaipga bei mana nilishachoka kununua spare kila Sikh!
Hakuna pkpk vimeo kama boxer aisee sasa unless kama unashinda barabara za lami vinginevyo utaibeba nina uzoefu na pkpk kwa matumiz kwa mazingira yetu hasa tanzania boxer bado haija kidhi viwango bora mchina.
 
Back
Top Bottom