Aina mbalimbali za utekaji nyara: Utangazaji dau unavyoweza kusaidia kwenye uchunguzi (possible scenarios)

Hili la kutangaza dau mezani naona lina faida na hasara kwa maana mtu anaweza jitoa mhanga kuingia kazini au msituni na sehemu zingine za maficho ili kupata utajiri wa ghafla kutokana na hamasa ya kuwa tajiri, na pia ina athari kubwa sana hasa kwa familia za matajiri kwa watu sasa kuona njia pekee ya kutajirika fasta ni kuwateka watoto, au ndugu wa matajiri wakiamini kuwa dau kubwa litatangazwa na kuona jinsi gani watatajirika kiufupi dhana itayokuja hapo ni kuwa kumteka mtoto wa kitajiri ni dili sasa hii ni hatari sana
Nakubaliana na hoja zako. Kuhusiana na watu kuona kwamba ndiyo njia pekee ya kutajirika wakiteka. Hii huwa inajulikana kama “copycats”. Utekaji ni aina ya uhalifu ambao unahitaji kuwa well organized na makosa machache.

Copycats haziwezi kuepukwa. Watu wanaiga hadi matukio ya movie kabisa!

Utekaji unahitaji mtandao wa uhakika. Kwahiyo mara nyingi lazima ni aina ya “organized crime”, na siyo swala la mtu kuibuka tu na kwenda kuteka mtu kama anavyofanya lets say mwizi wa mfukoni.
 
1539621763203-png.899078

1.Utekaji uliozoeleka ambao ni "basic kidnapping"

Hii inachukuliwa kuwa aina ya awali kabisa ya utekaji nyara na inaweza kufanyika kwa karibu sehemu zote za dunia na kwa maandalizi kidogo sana, na risk ndogo ya kushindwa. Katika matukio mengi, wateka nyara watajaribu kuwalenga watu wafanyabiashara wa ndani ya nchi, au familia zao - watu ambao wanaofikiriwa kuwa "wako vyema."

2. Utekaji wa watu walioko matawi ya Juu na wenye mafaniko makubwa

Utekaji mwingi sana ambao huwa unaonekana kwenye movies, ni wa aina hii. Katika hii situation/scenario, wahalifu hukusanya taarifa kuhusu tabia binafsi au taratibu za usalama za mtu huyo(kwa Mo Dewji hili lilitokea). Mara baada ya mtekwaji kuchukuliwa, fidia uhitajika. Katika hali kama hizo, utekaji nyara mara nyingi unakuwa ni jitihada za kupata pesa.

3. Utekaji chui ama "Tiger kidnapping"

Ikiwa uhalifu unahusisha kuchukua mateka ili kumshawishi atoe ushirikiamo, mfano afanye wizi,au abadili msimamo flani, asaini makubaliano flani nk, basi inajulikana kama tendo la utekaji nyara aina ya “Tiger kidnapping” Katika situation hii, mateka atashikiliwa mpaka pale madai yao yote watekaji hao yatakapokuwa yametimia na mtekwaji kusalimu amri.

4. utekaji wa haraka"Express kidnapping"

Katika hii situation, mtu huchukuliwa na wanalazimishwa kutoa kiasi cha fedha (wenyewe) nje ya benki au ATM. Ikiwa kila kitu kinaenda vizuri, huyo aliyetekwa huachiwa huru. Mara nyingi, aina hii ya utekaji nyara hutokea kwenye maeneo ya miji ambapo kuna ATM nyingi. Kwa mara chache sana, mwathirika ataendelea kushikiliwa kwa madai ya ransom/fidia kutoka kwa wanafamilia.

5. "Virtual kidnapping"(kimtandao)

Utekaji huu ambao ni wa aina mpya, ni more of a scam tofauti na utekaji nyara halisi. Katika situation hizi, wahalifu watasubiri mpaka ule muda ambao unakuwa haupatikani kabisa hewani, kisha wanawasiliana na ndugu wa familia au washiriki wako wa biashara, wanatoa madai kuwa wanamshikilia na wanadai fidia/pesa. Aliyetajwa kuwa katekwa mara nyingi huwa hata hajui kilichotokea wala kinachoendelea.

Angalizo: Kuna taarifa ambazo tayari zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii. Kuna ambazo zimefunguliwa threads lakini zimeunganishwa kwenye ile main ya utekwaji wa Mo. Sidhani kama ni sahihi.

Lakini kama habari za madai ya ransom payments kutoka kwa watekaji ni ya kweli, basi utekaji huu unaangukia kwenye either utekaji wa watu maarufu ama high profile people kwasababu ya pesa, au "utekaji chui" AKA "Tiger kidnapping", ili kumlazimisha kufanya jambo flani nk

Kabla sijaenda mbele zaidi, jambo muhimu kuwekana sawa hapa, hadi sasa hivi hakuna taarifa zozote zilizowekwa wazi kuhusiana na hao watekaji na kile wanachohitaji, lakini taarifa zilizoko, ni kwamba wanadai usd 2b! Hicho ni kiasi kikubwa sana ambacho sidhani kama wanaweza kulipa, labda wawe wameanzia dau la juu kama bargaining strength na kwamba wataweza kushusha dau hilo.

Kama sivyo, kama wakikataa kupunguza dau hilo, basi nia yao moja kwa moja itaweza kufahamika kuwa ni roho yake waliitaka.

Habari hizi naziamini kwa kiasi kikubwa kutokana na uamuzi waliouchukuwa familia ya Mo, wa kutangaza dau hilo. Uamuzi kuntu kabisa, wenye busara na werevu wa hali ya juu sana.

Kwa mfano scenario moja hapa, ni uwezekano wa watekaji kusalitiana kutokana na dau lilotangazwa. Hiyo ni moja.

Pili, inasaidia kwasababu wananchi wanakuwa "vigilantes", kwa maana wanakuwa makini na kutizama mazingira yao. Mwingine, pengine aliona tukio ambalo anahisi labda kuna kitu kinafichwa nk.

Mfano mtu anaweza alikuwa amekaa mahali kitaa akaona surf inaingia kwa kasi kwenye nyumba, hoteli, au labda inaelekea njia Fulani. Pengine Mo amefichwa pahala ambapo kuna mtu ameona activities ama matukio ambayo siyo ya kawaida lakini akapuuza. Utangazwaji wa dau, utasaidia kuwafikirisha wadau zaidi.

Hata kama siyo wale walioko kwenye inner circle ya watekaji, bado lazima kuna mtu ambaye siyo wa inner circle amenusanusa movements nk. kuna polisi ambao pia huwa wananusanusa mambo kama hayo ama taafira za aina hiyo. wanaweza kufuatilia kiana kwasababu ya dau.

Pia kutangaza dau kutaweza kusaidia kwenye issue nzima ya kutekwa kwa Mo Dewji. Kikawaida, watu wa system ni watu wanaofanya kazi ambazo wamekula viapo. Na wanakuwa wametumwa... Situation ikiwa ni wao, basi hatutasikia madai ya ransom au mahitaji ya pesa. Labda wafanye hivyo kama geresha baada ya kuamuwa kuwa wanamuachia huru. Na ikiwa hivyo kama ni kitengo, basi inaweza kuangukia pia kwenye aina ya utekaji ya tiger kidnapping kama nilivyoelezea hapo awali, ambapo mtekwaji kuna mambo ambayo atalazimishwa kukubaliana nayo, na inaweza kuwa siri hata mambo ambayo wamemfanyia wakayatumia kum blackmail ili asiweze kuwageuka. Kuna wanaosema ndicho kilichotokea kwenye ule utekaji wa msanii Roma Mkatoliki.

Uzuri mmoja wa kutangaza dau, kuna kitu kinaitwa "Pandora box", inakuwa opened, one thing leads to another...

Somewhere, somehow, someone saw something crucial to this case. Kwasababu hata kama watekaji ni wa kitengo na hawatasalitiana, lazima kuna mtu mahali ameona tukio ambalo ni suspicious ama siyo la kawaida, movements zisizo za kawaida, kumbuka bado ni Mi ni binadamu na siyo percel. However, changamoto nyingine kubwa, ni kwamba, kama ni watu wa system, halafu kuna taarifa zimepatikana, je familia ya Mo hawatakwamishwa na polisi kama ambavyo wamekuwa wamefanya kwenye matukio mengine ambayo bila shaka wanafahamu kuwa ni kazi ya kitengo? Je kama familia ya Mo ikipata hizo taarifa za watu waliomteka, na ikiwa wakati huohuo ni watu wa kitengo, watachukuwa hatua gani? Certainly sidhani kama wataweza kuwashikirisha polisi, unless wawe tayari na Imani kwamba systema haihusiki na utekwaji nyara wa Mo.

Jambo jingine linalonishangaza, ni jinsi ambavyo wame handle situation hao polisi. Sikumbuki kutajwa kwa rangi ya gari ya Toyota Surf iliyoonekana kwenye cctv. Kwasababu issue kama hiyo, ndiyo ingesadia Zaidi sana upande wa dau lilotangazwa, maana ninaamini kila mtu ambaye angekuwa ameiona surf yoyote mahali popte yenye rangi hiyo, basi angeweza kuvuta kumbukumbu ya jambo lolote lile lilotkea kuhusiana na hiyo surf.

Ni kweli kuna nyakati polisi huwa wanashikilia taarifa flani flani kwasababu za kiupelelezi. Lakini siyo kwenye issue kama hii. Hilo ndilo linawapa wadau mashaka.

Hekima za naman hii ndiyo huwa wakati mwingine zinasababisha mtandao wetu unafungiwa, naomba niwe wazi kwa hili. Mantiki ya thread yako hapa nini, kufundisha na kuhamasisha utekaji?

Kumbuka tukio linaloendelea ni la mtu mkubwa muno na maarufu muno. Sasa wewe kuanza tena ku-post mbinu za utekaji, unataka watekaji waongezeke si ndiyo?
 
Hekima za naman hii ndiyo huwa wakati mwingine zinasababisha mtandao wetu unafungiwa, naomba niwe wazi kwa hili. Mantiki ya thread yako hapa nini, kufundisha na kuhamasisha utekaji?

Kumbuka tukio linaloendelea ni la mtu mkubwa muno na maarufu muno. Sasa wewe kuanza tena ku-post mbinu za utekaji, unataka watekaji waongezeke si ndiyo?
Tizama kwa upana zaidi.

Kwa mfano ile thread ya “Freemasons inside out”, inawataka mujiunge na Freemasons? Thread za uchawi zinataka mukawaroge wenzenu?

Never limit your faculty of understanding.
 
ohhhh!!.... Serekali nayo huwa inateka watu wake mkuu?
Exactly! But let me tell you one thing, if there is a government which functions without fully utilsing it’s its institutions, it is just like a gang!

Kwa maana nyingine, kama umepitia thread ya Zitto aliyozungumzia kuhusu serikali iruhusu wapelelezi kutoka nje, anasema wazi kabisa kuwa hata polisi huwa wanafikia mahali wanakwama! Akatolea mifano ya issues za Ben Saanane na Tundu Lissu. Kwamba polisi walizuiliwa hata kufungua jalada la upelelezi! Hii ina maanisha kitu gani?

Moja, ina maana kwamba nchi haiongozwi kikatiba, yani kwa kufuata mfumo wa mihimili ama taasisi. Kwahiyo nchi inakuwa kama inaongozwa na genge flani ambalo ndo lenye maamuzi yote ya mwisho kwenye kila jambo. Yani taasisi zote za kiserikali hazina nguvu zaidi ya hilo genge.

Ikifikia hapo, siyo ajabu hata kidogo kusema ametekwa na system.
 
Exactly! But let me tell you one thing, if there is a government which functions without fully utilsing it’s its institutions, it is just like a gang!

Kwa maana nyingine, kama umepitia thread ya Zitto aliyozungumzia kuhusu serikali iruhusu wapelelezi kutoka nje, anasema wazi kabisa kuwa hata polisi huwa wanafikia mahali wanakwama! Akatolea mifano ya issues za Ben Saanane na Tundu Lissu. Kwamba polisi walizuiliwa hata kufungua jalada la upelelezi! Hii ina maanisha kitu gani?

Moja, ina maana kwamba nchi haiongozwi kikatiba, yani kwa kufuata mfumo wa mihimili ama taasisi. Kwahiyo nchi inakuwa kama inaongozwa na genge flani ambalo ndo lenye maamuzi yote ya mwisho kwenye kila jambo. Yani taasisi zote za kiserikali hazina nguvu zaidi ya hilo genge.

Ikifikia hapo, siyo ajabu hata kidogo kusema ametekwa na system.
Ni kweli mkuu hata mahakama na bunge zimewekwa mfukoni na ile rangi ya kijani!
 
1539621763203-png.899078

1.Utekaji uliozoeleka ambao ni "basic kidnapping"

Hii inachukuliwa kuwa aina ya awali kabisa ya utekaji nyara na inaweza kufanyika kwa karibu sehemu zote za dunia na kwa maandalizi kidogo sana, na risk ndogo ya kushindwa. Katika matukio mengi, wateka nyara watajaribu kuwalenga watu wafanyabiashara wa ndani ya nchi, au familia zao - watu ambao wanaofikiriwa kuwa "wako vyema."

2. Utekaji wa watu walioko matawi ya Juu na wenye mafaniko makubwa

Utekaji mwingi sana ambao huwa unaonekana kwenye movies, ni wa aina hii. Katika hii situation/scenario, wahalifu hukusanya taarifa kuhusu tabia binafsi au taratibu za usalama za mtu huyo(kwa Mo Dewji hili lilitokea). Mara baada ya mtekwaji kuchukuliwa, fidia uhitajika. Katika hali kama hizo, utekaji nyara mara nyingi unakuwa ni jitihada za kupata pesa.

3. Utekaji chui ama "Tiger kidnapping"

Ikiwa uhalifu unahusisha kuchukua mateka ili kumshawishi atoe ushirikiamo, mfano afanye wizi,au abadili msimamo flani, asaini makubaliano flani nk, basi inajulikana kama tendo la utekaji nyara aina ya “Tiger kidnapping” Katika situation hii, mateka atashikiliwa mpaka pale madai yao yote watekaji hao yatakapokuwa yametimia na mtekwaji kusalimu amri.

4. utekaji wa haraka"Express kidnapping"

Katika hii situation, mtu huchukuliwa na wanalazimishwa kutoa kiasi cha fedha (wenyewe) nje ya benki au ATM. Ikiwa kila kitu kinaenda vizuri, huyo aliyetekwa huachiwa huru. Mara nyingi, aina hii ya utekaji nyara hutokea kwenye maeneo ya miji ambapo kuna ATM nyingi. Kwa mara chache sana, mwathirika ataendelea kushikiliwa kwa madai ya ransom/fidia kutoka kwa wanafamilia.

5. "Virtual kidnapping"(kimtandao)

Utekaji huu ambao ni wa aina mpya, ni more of a scam tofauti na utekaji nyara halisi. Katika situation hizi, wahalifu watasubiri mpaka ule muda ambao unakuwa haupatikani kabisa hewani, kisha wanawasiliana na ndugu wa familia au washiriki wako wa biashara, wanatoa madai kuwa wanamshikilia na wanadai fidia/pesa. Aliyetajwa kuwa katekwa mara nyingi huwa hata hajui kilichotokea wala kinachoendelea.

Angalizo: Kuna taarifa ambazo tayari zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii. Kuna ambazo zimefunguliwa threads lakini zimeunganishwa kwenye ile main ya utekwaji wa Mo. Sidhani kama ni sahihi.

Lakini kama habari za madai ya ransom payments kutoka kwa watekaji ni ya kweli, basi utekaji huu unaangukia kwenye either utekaji wa watu maarufu ama high profile people kwasababu ya pesa, au "utekaji chui" AKA "Tiger kidnapping", ili kumlazimisha kufanya jambo flani nk

Kabla sijaenda mbele zaidi, jambo muhimu kuwekana sawa hapa, hadi sasa hivi hakuna taarifa zozote zilizowekwa wazi kuhusiana na hao watekaji na kile wanachohitaji, lakini taarifa zilizoko, ni kwamba wanadai usd 2b! Hicho ni kiasi kikubwa sana ambacho sidhani kama wanaweza kulipa, labda wawe wameanzia dau la juu kama bargaining strength na kwamba wataweza kushusha dau hilo.

Kama sivyo, kama wakikataa kupunguza dau hilo, basi nia yao moja kwa moja itaweza kufahamika kuwa ni roho yake waliitaka.

Habari hizi naziamini kwa kiasi kikubwa kutokana na uamuzi waliouchukuwa familia ya Mo, wa kutangaza dau hilo. Uamuzi kuntu kabisa, wenye busara na werevu wa hali ya juu sana.

Kwa mfano scenario moja hapa, ni uwezekano wa watekaji kusalitiana kutokana na dau lilotangazwa. Hiyo ni moja.

Pili, inasaidia kwasababu wananchi wanakuwa "vigilantes", kwa maana wanakuwa makini na kutizama mazingira yao. Mwingine, pengine aliona tukio ambalo anahisi labda kuna kitu kinafichwa nk.

Mfano mtu anaweza alikuwa amekaa mahali kitaa akaona surf inaingia kwa kasi kwenye nyumba, hoteli, au labda inaelekea njia Fulani. Pengine Mo amefichwa pahala ambapo kuna mtu ameona activities ama matukio ambayo siyo ya kawaida lakini akapuuza. Utangazwaji wa dau, utasaidia kuwafikirisha wadau zaidi.

Hata kama siyo wale walioko kwenye inner circle ya watekaji, bado lazima kuna mtu ambaye siyo wa inner circle amenusanusa movements nk. kuna polisi ambao pia huwa wananusanusa mambo kama hayo ama taafira za aina hiyo. wanaweza kufuatilia kiana kwasababu ya dau.

Pia kutangaza dau kutaweza kusaidia kwenye issue nzima ya kutekwa kwa Mo Dewji. Kikawaida, watu wa system ni watu wanaofanya kazi ambazo wamekula viapo. Na wanakuwa wametumwa... Situation ikiwa ni wao, basi hatutasikia madai ya ransom au mahitaji ya pesa. Labda wafanye hivyo kama geresha baada ya kuamuwa kuwa wanamuachia huru. Na ikiwa hivyo kama ni kitengo, basi inaweza kuangukia pia kwenye aina ya utekaji ya tiger kidnapping kama nilivyoelezea hapo awali, ambapo mtekwaji kuna mambo ambayo atalazimishwa kukubaliana nayo, na inaweza kuwa siri hata mambo ambayo wamemfanyia wakayatumia kum blackmail ili asiweze kuwageuka. Kuna wanaosema ndicho kilichotokea kwenye ule utekaji wa msanii Roma Mkatoliki.

Uzuri mmoja wa kutangaza dau, kuna kitu kinaitwa "Pandora box", inakuwa opened, one thing leads to another...

Somewhere, somehow, someone saw something crucial to this case. Kwasababu hata kama watekaji ni wa kitengo na hawatasalitiana, lazima kuna mtu mahali ameona tukio ambalo ni suspicious ama siyo la kawaida, movements zisizo za kawaida, kumbuka bado ni Mi ni binadamu na siyo percel. However, changamoto nyingine kubwa, ni kwamba, kama ni watu wa system, halafu kuna taarifa zimepatikana, je familia ya Mo hawatakwamishwa na polisi kama ambavyo wamekuwa wamefanya kwenye matukio mengine ambayo bila shaka wanafahamu kuwa ni kazi ya kitengo? Je kama familia ya Mo ikipata hizo taarifa za watu waliomteka, na ikiwa wakati huohuo ni watu wa kitengo, watachukuwa hatua gani? Certainly sidhani kama wataweza kuwashikirisha polisi, unless wawe tayari na Imani kwamba systema haihusiki na utekwaji nyara wa Mo.

Jambo jingine linalonishangaza, ni jinsi ambavyo wame handle situation hao polisi. Sikumbuki kutajwa kwa rangi ya gari ya Toyota Surf iliyoonekana kwenye cctv. Kwasababu issue kama hiyo, ndiyo ingesadia Zaidi sana upande wa dau lilotangazwa, maana ninaamini kila mtu ambaye angekuwa ameiona surf yoyote mahali popte yenye rangi hiyo, basi angeweza kuvuta kumbukumbu ya jambo lolote lile lilotkea kuhusiana na hiyo surf.

Ni kweli kuna nyakati polisi huwa wanashikilia taarifa flani flani kwasababu za kiupelelezi. Lakini siyo kwenye issue kama hii. Hilo ndilo linawapa wadau mashaka.
Kuna mtu aliyasema haya haya anaitwa E. Soko. Au ndiyo wewe mkuu? Umejitahidi kwenye kuchambua hii kitu.
 
Back
Top Bottom