Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 609
- 1,007
Mzee siku zote epuka simu zisizojulikana na wengi. Hzo ni jau. Bora uaagize Xiaomi au Oppo Realme huko aliexpress zinauzwa bei hyo hyo na zinakua na uwezo mzuri tu.
Pamoja sn kiongoziMzee siku zote epuka simu zisizojulikana na wengi. Hzo ni jau. Bora uaagize Xiaomi au Oppo Realme huko aliexpress zinauzwa bei hyo hyo na zinakua na uwezo mzuri tu.
Inategemea na seller na shipping company iliyotumika. Lakin average ni week 2 hadi miezi miwiliHivi ukiagiza mzigo Aliexpress unachukua mda gani kukufikia
Hii kaka lazima niagize mana siwez nikaiacha 10000mah mana uwezo wa betr nying unacheza 5000 to 4000 lkn hao jamaa ni shidaAgiza tu mzee ili na sisi tupate uhakika kama itakuwa kweli inakiwango hicho kwa hiyo bei... 4RAM 64GB
10000mh
Ulete mrejeshoHii kaka lazima niagize mana siwez nikaiacha 10000mah mana uwezo wa betr nying unacheza 5000 to 4000 lkn hao jamaa ni shida
Ni ouktel😂 k7kukuteli yaani
Vimeo mkuu soma comments za clients simu unakua kiliachoandikwa sicho labda ununue brands za kueleweka kama xiomi, huawei n.kWadau nimetembelea mtandao wa Ali Express kuna simu mbalimbali nimeziona kule na kwa bei nzuri simu kama qukutel n.k.
Je, nikiagiza haziwezi kuja kuleta shida bongo au tayari jamaaa washaiweka katika access ya nchi zote duniani?
Wajuvi nawaomba hapa kwa msaada zaidi
Realme 6i inapatikana kwa bei gani ?kama shida ni ukaaji tu wa chaji tafuta realme 6i itakaa na chaji kuliko hizo 10k mah feki.
PamojaUlete mrejesho
Kwa hio kaka unataka kuniambia hakuna10000mah kwa sasa dunian?kama shida ni ukaaji tu wa chaji tafuta realme 6i itakaa na chaji kuliko hizo 10k mah feki.
Ni ouktel😂 k7
Ngoja labda tuendelee kupata elimu kabla ya kufanya maamuz lkn nadhan dunian bado kuna cm nzur sn zaid ya tunavoaminishana na hta hao xiomi sidhan kama mwanzon watu walikua wanazinunua lkn walivotokea watu wachache na kuzinunua ndio sifa zikaanza miminikaVimeo mkuu soma comments za clients simu unakua kiliachoandikwa sicho labda ununue brands za kueleweka kama xiomi, huawei n.k
Soma reviews maana mimi naagizaaga vitu aliexpress, reviews ni muhimuNgoja labda tuendelee kupata elimu kabla ya kufanya maamuz lkn nadhan dunian bado kuna cm nzur sn zaid ya tunavoaminishana na hta hao xiomi sidhan kama mwanzon watu walikua wanazinunua lkn walivotokea watu wachache na kuzinunua ndio sifa zikaanza miminika
Poa mkuu shukran snSoma reviews maana mimi naagizaaga vitu aliexpress, reviews ni muhimu