Aina gani ya socket switch itanitanifaa kwa matumizi haya?

Aina gani ya socket switch itanitanifaa kwa matumizi haya?

Mkuu siku zote Rating ya Vifaa vinavyotumia A.C wanatumia RMS values so huna Haja Kufanya conversions. Kwahiyo mkuu Makbel yupo sahihi kabisa.

kaka kwa hiyo unataka kusema katika line za tanesco line to neutral voltage katika RMS ama ni AC ya kawaida.?

huoni kama hizo figure za heater yake (1500w/220v na 10/16A) alizowaka jamaa ni kwamba ukizichukulia kama RMS value ni kwamba hazitawiana kwa maana kwamba ;

1500w/ 220v = 6.8A.?

Kitu ambacho kinapingana na hiyo range ya 10/16A iliyoandikwa kwenye hiyo heater yake. Kwa muono wangu nadhani Mkuu kaka' yupo sahihi kwani ameweza thibitisha hilo kimahesabu pia.
Hebu nipe elimu kidogo kaka.
 
Sema wewe kiazi nikisema mimi muhogo nina mzizi.
 
mtoa mada usichanganywee na hao mainjinia hapo juu na vimahesabu vingiiiii,, lkn mwisho wa siku magorofa yanaporomoka, fanya kitu kimoja nenda tronic pale moro road, waambie naomba dp switch 15am, tafuta fundi akufungie ahakikishe isiwe loose. hitter yako ni ndogo yani yakawaida hiyo inatosha.

Acha kumpotosha mwenzako wewe.
 
Haya wajuzi wa moto ulaya,m,ie natumia 13A top plugs kwa
  • Microwave
  • Pasi
  • Birika chemshi
  • Kabati ya mbeho
  • Mfumo mzima wa burudani -runinga,sinema kwa nyumba,radio
  • mashine za nyumba ya samaki.
Je niko salama?bado natumia mfumo wa kizamani wa meter kiukweli napata bili ndefu mno na kitu kinacho kuwa on permanently/longer ni refrigerator(never switch off) na aquarium pump(always on) and cleaning accessories(every 2/3 days continuosly) and lighting (14hrs).
Vilivyo baki ni occasionally and full time sat and sundays.
 
Hapo usimtafute mchawi kaka kwa bili ya umeme unayopata. Vifaa vyote ulivyoomba mention vipo kwenye heating system ambayo ni janga kwa umeme wa Tanesco.
 
Back
Top Bottom