Aina 3 za wanawake kwenye ndoa wakati wa mapenzi..[unaejipanga usiseme sijakwambia].ukioa ukubaliane na haya

Aina 3 za wanawake kwenye ndoa wakati wa mapenzi..[unaejipanga usiseme sijakwambia].ukioa ukubaliane na haya

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
✍️Ameandika Chris Mauki ( Mtaalamu wa Saikolojia na Mahusiano)

KUNA AINA TATU (3) ZA WANAWAKE KWENYE MUKTADHA WA HISIA ZA TENDO, KILA MWANAUME UNAPASWA KUFAHAMU HII ITAKUSAIDIA KUMUELEWA MWENZA WAKO YUPO KUNDI GANI

1️⃣AINA YA KWANZA ya Mwanamke ni Yule ambaye yeye ana hamu Muda wote ( Yaani ndio nature yake )
Huyu hata mgombane vipi mkimaliza ugomvi anataka Tendo, tena wakati mwingine anaweza suluhisho Ugomvi wenu kwa sex.
Hasumbui katika kukupa tendo, tena huenda yeye ndio akakukumbusha

2️⃣AINA YA PILI ni yule mwanamke ambaye ni yupo mguu ndani, mguu nje. Sometimes wamoto Sometimes wabaridi.
Leo Ana hamu ya tendo au maneno matamu, lakini kesho hataki kusikia masuala ya mapenzi ni kazi kazi.
Yaani Huyu unamvizia Na anakuwa na Muda wake Maalumu tu. Kwahiyo Lazima ujue leo Baby ana hamu lazima niichape, Lakini Kesho atakuwa kauzu, hivyo lazima uendane na Mood yake.

3️⃣AINA YA TATU ni yule Mwanamke Ambaye tunamuita KAUZU au MKAKSI, yaani hataki Kusikia maneno matamu wala meseji za mapenzi. Muda wote anawaza VICOBA, Marejesho na Biashara zake tu.
Yaani Ikitokea Siku Amekutunuku Basi Unashukuru, Maana hata nyonyo hataki aguswe 😂Wala Kukumbatiwa

🫵NIKUPE SIRI YA KUMU ACTIVATE au KUAMSHA HISIA ZA HUYU WA TATU FANYA YAFUATAYO KAMA UPO NA HUYU.

1. Anza Kumuandaa Kisaikolojia Masaa 24 Kabla ya Tendo

2. Mpe Vizawadi na Mtoe Out Siku Moja kabla ya Tendo

3. Kama Ana Kipengele au Shida, kama wewe ni Mume wake Msaidie Kutatua Chap sana MFANO Leo Mpe Pesa ya MCHEZO, KIKOBA au Marejesho Mbona atakufurahia, na Usiku HuoHuo atakutunuku😂

⚠️NB
● Fanya Hayo Ikiwa ni Mkeo tu au Kwa Mtu Unayetarajia Kumuoa🙌
● Mara Nyingi Aina Hii Ya 3 wanaboa Lakini, Ukimuweka kwenye Biashara ni kazi kazi tu..
 
Thx kaka nimekukumbuka sana haya mafundishooo
 

Attachments

  • IMG-20260202-WA0007.jpg
    IMG-20260202-WA0007.jpg
    113.1 KB · Views: 18
Usiku mwema wewe unaeendelea kusearch never gvup shida moja huwezi wajua mpaka uingie nao kamban kwa mda then harusi ambalo n uzinzi na dhambi kubwa
 
wapwaaaa wewe ukooo type
1
2
3
siriyakoooo maana wenginee awalali mpaka wawekeee Yesuu unifinyangeee nyimbo ndioo waingie kwa bed acha 2
 
Kila mwanamke atakuwa fulani au aina fulani kutegemea na mwanaume anachangaje karata zake. Vinginevyo awe na tatizo la kiafya
 
NIKUPE SIRI YA KUMU ACTIVATE au KUAMSHA HISIA ZA HUYU WA TATU FANYA YAFUATAYO KAMA UPO NA HUYU.
Huyu namba 3 huwa mwanamke mbinafsi huyu wa kumpuuza tu, jifanye kama roommate wako tu.

Nishawahi kuwa nae nilimpuuza mwezi mzima sijaomba mbususu wala busu, alijishtukia mwenyewe akataka kunipa mbususu na mimi nikaikataa kwa wiki nzima. Alianza kulalama kama namchepuko ndio maana, lakini hao namba 3 sio mbususu tu hata hela yao vitu vyao kukupa sahau kabisa ni wabinafsi sana.
 
Sema wanawake wanene hatunaga shida.unaacha mke anakondeana kama fimbo nyege atatoa wapi mwilini Tu damu haitoshi
Wanawake wembamba na ukavu ni kama chura na maji
Nikiwaza kujipunguza mwili kutakausha k Yangu huwa naacha dieti kabisa yaani
 
Sema wanawake wanene hatunaga shida.unaacha mke anakondeana kama fimbo nyege atatoa wapi mwilini Tu damu haitoshi
Wanawake wembamba na ukavu ni kama chura na maji
Nikiwaza kujipunguza mwili kutakausha k Yangu huwa naacha dieti kabisa yaani
Hapana mna utapiamlo na afya zenu zipo rehani. Hamvutii mna michirizi pamoja na cellulite, bila kusahau makovu mapajani. Pia hamnyumbuliki katika baadhi ya mikao.
 
Huyu namba 3 huwa mwanamke mbinafsi huyu wa kumpuuza tu, jifanye kama roommate wako tu.

Nishawahi kuwa nae nilimpuuza mwezi mzima sijaomba mbususu wala busu, alijishtukia mwenyewe akataka kunipa mbususu na mimi nikaikataa kwa wiki nzima. Alianza kulalama kama namchepuko ndio maana, lakini hao namba 3 sio mbususu tu hata hela yao vitu vyao kukupa sahau kabisa ni wabinafsi sana.
💯

Wanakuwa na roho ya YEZEBELI
 
3
Kuwakomboa kwa maombi haitoshi

Kufunga na kutoa sadaka juu yao else wanao wanafwata AKA kurithi mama yao
 
📌 SAVE HII VIDEO KIDUME

☝️Haya Ndio Mazoezi ya KEGEL kwa Wanaume
✅Yatakupa Stamina na Pumzi
✅Yatakaza Uume kuwa Ngangari
✅Yatafanya Damu ifike kwa wingi kwenye Uume
✅Yatakuweka FIT Muda wote

🕕Fanya Asubuhi na Jioni ( Au Mara Moja kwa Siku )
🕞Fanya Mara 3 | 4 kwa Kila Seti
🕚 Kila Seti ina Raundi 20 hadi 30

❌HAYAREFUSHI UUME
❌HAYANENEPESHI UUME

⚠️HAYANA MUDA MAALUMU, WEWE FANYA TU HADI UKIZEEKA..😂 ( Kama Hiyo Ngumu Basi Acha )
 

Attachments

  • VID-20260128-WA0134(3).mp4
    1.5 MB
DK NIPE NYIMBO YA MAKOMBOLE....NIKIIANZA MAZOEZI YANGU HAPA
 
Back
Top Bottom