Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,096
- 828,928
Uzi mzuri sana ila wengi wetu tuna mzio na nyuzi fikirishi kama hiziKaribu mkuu
Uzi mzuri sana ila wengi wetu tuna mzio na nyuzi fikirishi kama hiziKaribu mkuu
Anaoneka kuwa kundi la EnterprenuersNakukubali sana Kiongozi sasa huyo rais wa USA yuko kundi gan
Karibu mkuuVery good,, nimepata kitu hapo shule kubwa hii,,
Hii kitu nzuri sana. Tatizo umekosa mifano ya kitanzania .
Naamini mpaka hapo utakuwa ushajua kundi langu
utakuwa DebaterIngawa nimeona nina elements za Architects lakini 98% mimi ni Logician, kitu kisicho na Logic kwangu kunifanya nikifanye/kifatilia hilo sahau!.Mm nina fall kwenye kundi la Introvert kipengele namba a cha Architect. Niko very Cool, shy, napenda kuishi mwenyewe na hapa nilipo naishi mwenyewe hata wazazi hawajui naishi wap ..
Cc. Palantir[/B]
Kwakweli somo hili na lile la Tarehe ya kuzaliwa vina landana mno.. Napenda jinsi nilivyo kwakweli nina kamsemo kangu ndio nakatumia kama defence mechanism kanasema "Nimezaliwa pekee yangu nitaishi pekee angu" huo msemo umenisaidia sana upande wa mahusiano, Binti akinizingua nasema maneno hayo rohoni namsahau kabisa. Sijawh kua na stress za mapenz mimi.Ingawa nimeona nina elements za Architects lakini 98% mimi ni Logician, kitu kisicho na Logic kwangu kunifanya nikifanye/kifatilia hilo sahau!.
Unaweza kwenda na mie sehemu kufanya ishu na nikabase na kile kilichotupeleka nisifatilie vitu vingine kabisa, hata kutembea tunaweza tembea lakini nitaconcetrate na barabara au vile vyenye umuhimu, mambo ya nani napishana nae huwa siyajali.
Wanaonizunguka huwa ninawapa msemo naoupenda zaidi There always is Emergence and Importance (kuna jambo la Dharula na la Muhimu) ukitaka nipata kukusaidia juwa kuzitofautisha!.
Mahusiano kwangu sio kitu cha lazima sana unless necessity calls but im very caring if my partner understand me the way i am!. Kutokana na hilo huwa sina haja ya kukaa kumchunguza saana mtu nayekuwa nae mahusiano.
Bday yangu ni No. 4.