kweli CCM kiboko yao leo hii kikwete kawa mtukufu na mpendwa kwa wana ukawa dunia haiishi maajabu
kweli ccm tabia ya kuombA omba wanaipenda sanaYaani Unakuta Mtu Mzima, Una Familia Yako Na Watoto Na Unaongoza Chama Cha Siasa, Unakiendesha Kwa Kwenda Kuomba Omba Kwa Wazungu - Unapiga Piga Domo Pale Na Majungu Ili Wakusaidie Chochote
- Sasa Kama Kuendesha Chama Mtu Unajikomba Komba Kwa Wazungu, Nchi Itakuwaje
- Na Unapokuwa Unaomba Inakuwa Unadhalilika Sana, Sijui Hata Wazungu Wanakuonaje ???
Kwahiyo CCM Ndio Inamfanya Kengeza Kwenda Kupiga Domo Kwa Wazungu Apewe Chochote Na Maselfie KibaoSasa unaemlaumu nani? Ilaumu serikali ya ccm hata baada ya kupewa dhamana ya kuongoza nchi kwa miaka 50 bado nchi ni maskini ya kutupwa pamoja na watu wake
Kwa hiyo ccm ikiwa ombaomba na chadema nao lazima wawe ombaomba??
Sasa utofauti wa chadema na ccm ni nini?
Kwa nini tuache kuchagua ccm ombaomba, tukachague chadema ombaomba??
Vinazungumziwa Vyama Vya Siasa Hapa - Kwanini Usijilazimishe Kuelewa Tu ?Kunywa maji shusha povu mkuu, mpaka leo bajeti inayoendesha maisha yako ni ya kuomba kwa mzungu, hata utafiti wa zika mmeukataa kwa kuwa WHO shirika lililoasisiwa na wzungu hawajathibitisha unashangaa cham cha siasa? Hata kukuklinda na maleria tu nchi hii inasaidiwa kwa hisani ya watu wa marekani ili wewe upate net, kajipange uje kivingine kwa hapa umechemka sana.
kuna kitu kinaitwa "michango ya hiari na misaada kutoka kwa marafiki na wahisani wa chama", ushawahi kukisikia?Haina Vyanzo, Mkuu Unataka Kusemaje ?
Bahati Mbaya Unakojipendekeza Wala Hawakujali Munatafunwa Bure bureBavicha Wanapita Hapa Kwa Speed Ya Mwanga - Hutawaona Hapa
Acha kujitoa ufahamu wewe kwani vyama vya siasa haviko kwenye nchi?1 Hivi unaweza shangaa mtoto kudowea chakula kwa jirani wakati walezi wake ndio wa kwanza kuamkia huko kwa jirani ili wale?! Nchi ikose hela chama kipate hizo hela ni za maruhani?!Vinazungumziwa Vyama Vya Siasa Hapa - Kwanini Usijilazimishe Kuelewa Tu ?
Serikali maskini, watu maskini, then vyama maskini. Sasa huoni hiyo chain imesababishwa na chama gani kama si serikali za ccm?Kwahiyo CCM Ndio Inamfanya Kengeza Kwenda Kupiga Domo Kwa Wazungu Apewe Chochote Na Maselfie Kibao
Kengeza Na Mamvi Watakufuta kwenye Payrol Soon Kama utaendelea Kutema Urojo Kama Huu Badala Ya HojaAma kweli nchi hii imejaza wajinga. Yaani huyu ndio thinker katumwa na chama chake kuleta utumbo huu hapa? Deni la nchi ni over 50t sasa bado Boss wenu kachukua tena mkopo wa Billion 360 kutoka benki ya maendeleo ya Africa akidai una masharti nafuu ili kupata hela ya bajeti ya 2016/2017. Je zimeenda wapi zile tirions mnazotangaza TRA kila mwezi? Ziko wapi pesa za wafanyakazi mlizowachukulia kwa mabavu majuzi kupitia mifuko ya jamii? Kweli kazi ipoooo kwa Fisiyemuuuuuu.
Chama gani hapa Tanzania ambacho akiombi? Unajua Wachina wanatoa shilingi ngapi kwa mwaka kuipa ccm ,unajua mavazi na wakati wa kampeini wanatoa akina nani? Unajua China na India walitoa magari mangapi ya aina ya Mahindra? Siku nyingine jaribu kua mkweli sio unasukumwa na hisia za itikadiNi Kweli Nchi Imeomba Kwa Miaka 55
Chadema Imeomba Kwa Miaka 25 - Almost Fisrt Half
- Ikipewa Nchi Itaomba Na Kujikomba Kwa Miaka 3999999999
kujua vilaza ili utemane nao, kwaheli ctokujibu tena