Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,487
- 913
wapi huko??????
dah nimecheka kweli, hiyo ilinikuta mimi pia, kuna wazungu waliwai kuja tz kunitembelea, sasa na mimi nilivyoenda kwao kuwatembelea, wakawa wanataka kunionyesha zile picha za bongo, babu wa watu akafungua sijui file gani, aisee nilicheka balaa, yani ilikuwa full miporno halafu mkewe yuko pembeni anamuuliza nini hiyo, kazi ilikuwa kwenye kuifunga,babu alipata noma sana.
daaah.....hiyo kiboko......
nimeona aibu utadhani mie.....
ngoja niandike skript, hilo litakuwa bonge la movie