WE ARE ANONYMOUS
JF-Expert Member
- Mar 23, 2015
- 217
- 284
Daaah, leo nimetulia zangu weekend, kuna wimbo wa wa injili wa Christina Shusho unaitwa NAPENDA, nikasema niugoogle ili niusikilize. Daah, baasi nimefungua zangu my favorite search engine, google, nikaanza ku type neno NAPENDA, kwa kweli hizo suggestions zilizotokea, unaweza ukajikuta unasahau kwamba ulikuwa unasearch wimbo.
Maneno haya almaarufu kama google auto-suggest huwa ni mjumuisho wa yale maneno ambayo watu wa eneo husika au nchi husika wanaya search sana kwenye internet, sasa kwa sababu Wabongo huwa tuna search upuuzi upuuzi tu, ndio maana hata search engine ina suggest hayo maneno.
Japokuwa tatizo hili halipo kwenye lugha yetu ya Kiswahili tu au kwetu Wabongo tu, hata watumiaji wa English, pia yapo haya maneno, ila kwa kuwa wenzetu wanajitambua, wame filter explicit queries na keywords maarufu za ngono, etc, zote ni kwamba haziwezi kutokea.
Natoa wito kwa TCRA, ikiwezekana BAKITA, Wizara ya Science na washika dau wengine especially TZINC ambao ndio wanaosajili domain zote za .co.tz (including GOOGLE.CO.TZ) wapeleke malalamiko google ili yale maneno makali yote yaondolewe kwenye auto suggest na yawe censored!!
UPDATE:
Hii issue nadhani wengine hawajui kwamba inawezekana kuondoa hayo maneno, kwa mfano mdogo tuu, majirani zetu Kenya, kuna baadhi ya maneno kwenye GOOGLE.CO.KE yameondolewa kwenye suggestion, maneno kama "KUM*" na "KUFIR*" hayapo na baadhi ya maneno makali wanaendelea kuyaondoa.
Suala hapa ni vyombo vinavyohusika, kufanya mawasiliano na Google ili kuondoa hayo maneno kwenye suggestion, hayo maneno hayatokani na computer ya mtumiaji, ni maneno ambayo mtu yoyote anayetumia google.co.tz atayapata hata kama computer yako au kifaa unachotumia kubrowse ni kipya.
Maneno haya almaarufu kama google auto-suggest huwa ni mjumuisho wa yale maneno ambayo watu wa eneo husika au nchi husika wanaya search sana kwenye internet, sasa kwa sababu Wabongo huwa tuna search upuuzi upuuzi tu, ndio maana hata search engine ina suggest hayo maneno.
Japokuwa tatizo hili halipo kwenye lugha yetu ya Kiswahili tu au kwetu Wabongo tu, hata watumiaji wa English, pia yapo haya maneno, ila kwa kuwa wenzetu wanajitambua, wame filter explicit queries na keywords maarufu za ngono, etc, zote ni kwamba haziwezi kutokea.
Natoa wito kwa TCRA, ikiwezekana BAKITA, Wizara ya Science na washika dau wengine especially TZINC ambao ndio wanaosajili domain zote za .co.tz (including GOOGLE.CO.TZ) wapeleke malalamiko google ili yale maneno makali yote yaondolewe kwenye auto suggest na yawe censored!!
Uko sahihi mtoa mada
Naunga mkono hoja kuna sku nlikuwa na sista kuna ktu tulitaka kuchek ile naandka tu suggestion zlizotokea ikabid nighair
mdau mtoa post yuko right kabisa miye mwenyewe nimejaribu suggestion ndiyo hizo na simu ni mpya hata huvyo nani anaweza kusema anapenda kufi*wa
UPDATE:
Hii issue nadhani wengine hawajui kwamba inawezekana kuondoa hayo maneno, kwa mfano mdogo tuu, majirani zetu Kenya, kuna baadhi ya maneno kwenye GOOGLE.CO.KE yameondolewa kwenye suggestion, maneno kama "KUM*" na "KUFIR*" hayapo na baadhi ya maneno makali wanaendelea kuyaondoa.
Suala hapa ni vyombo vinavyohusika, kufanya mawasiliano na Google ili kuondoa hayo maneno kwenye suggestion, hayo maneno hayatokani na computer ya mtumiaji, ni maneno ambayo mtu yoyote anayetumia google.co.tz atayapata hata kama computer yako au kifaa unachotumia kubrowse ni kipya.