Kwani nani amesema ni kazi ya serikali kuleta umeme? Jilaumuni nyie wenyewe kwa kushindwa kujiwekea umeme.
.... (bado airport codes hazijabadilishwa kuwa JKN) ... .
Pamoja na kuwa nimechukia jinsi nchi inavyoendeshwa, hii imenichekesha.Ukiwauliza kama akina dr jk kwanini umeme unakatika Wanasema kweni umeme unakiuono mpaka ukatike tehe tehe tehe na bado
<br />Hivi nataka nikuulize Mwanakijiji. Wewe chaguo lako hilo ambalo halikuingia madarakani na ambalo ulidhani lingetatua kila kero na shida za nchi hii ni nani? We are really sick and tired of the persistent salvo that you have been throwing at the current government! There is thinly veiled motive that will cme to the light very soon!
mwe hii kali sasaDsm international airport no electricity no flight is allowed to land from 8 to now!"