Tena ukiwauliza wanakwambia tatizo la ajira ni la dunia nzima.....simple like that.Kwa Incompetency tuliojaza kwenye mifumo hakuna siku tatizo la ajira litaisha, tena tuendako litawazidia kabiss mpaka wenyewe watachanganyikiwa.
Kumaliza tatizoa ajira kunahitaji watumishi wenye weledi na uelewa wa dunia ya sasa inaendaje, kutegemea watu wenye akili fupi kuibadili ali hii ni sawa na kumpa steering trainee AB ndani ya rough sea.