AIBU: Uhalisia wa ajira nchini

AIBU: Uhalisia wa ajira nchini

Mm alie nijibu ujinga ni huyo wa kwanza kushoto mwanaume. Mwenye mkanda nje (kadeti mtumba ya kaki-nyeupe) na mkoti.
20221805531240WATUMISHI%202.jpg
 
[emoji23][emoji23]Ana familia sio fresh kumchoresha
Huu ujinga wa kuwafumbia macho na kuwalinda wapuuz kama hawa ndio unalicost hili Taifa
Kwani huyo mhanga WA upuuz WA huyo Mzee Hana familia ?
Aisee ifike mahala watz tuachane na hizi mentality za kikondoo watu wapuuz kama huyo mzee wawajibishwe vikali bila huruma
 
Huu ujinga wa kuwafumbia macho na kuwalinda wapuuz kama hawa ndio unalicost hili Taifa
Kwani huyo mhanga WA upuuz WA huyo Mzee Hana familia ?
Aisee ifike mahala watz tuachane na hizi mentality za kikondoo watu wapuuz kama huyo kzee wawajibishwe vikali bila huruma
Sawa mkuu ila sioni kama fresh hii sehemu Kuna watu kibao ,hapo mambo kumuachia mungu tu atamlipia
 
Kinachochosha ni kuondoa chai na maandazi ili kupunguza matumizi na kusahau kuuza ma V8, hebu uzeni tembeleeni defender,Vanguard au cruiser mkonge, hapo tutakata cost kubwa sana na hiyo hela itaboresha standard of living.
 
Sawa mkuu ila sioni kama fresh hii sehemu Kuna watu kibao ,hapo mambo kumuachia mungu tu atamlipia
Hakuna cha kumwachia Mungu ,huyo Mungu anamajukumu mengi Sana .
Wajinga kama huyo mzee ni destiny killers ,Uzembe na kutowajibika katika ofisi za Uma ni cancer katika hii nchi , huwezi deal na wajinga kama hawa Kwa diplomacy , ni kutengeneza mifumo thabiti ya kuwabana na kuwashughulikia wanaodefy miiko na maadili ya utumishi na uongozi , wanaua ndoto za watu kipuuz Sana , wanatakiwa wawe dealt ruthlessly
 
Inasikitisha sana kuona kati ya maelfu ya graduates na kati ya watanzania zaidi ya milioni 60, hizi ndizo nafasi za kazi zilizopo kwa sasa! Wakati huo vigogo wakiendelea kutumbua fedha za serikali kwa ziara zisizo na kikomo! na wakiendelea kuteua na kuajiri watu waliopaswa kupumzika.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA! View attachment 2373521
Yaan hapa lazima tufanye kazi ziwe Kwa mkataba ,la sivyo wengi watal8za nakuwa jobless tuu...
 
Tatizo la Ajira ni Kubwa sana. Kutatua au kupunguza ni Kurudisha mfumo Mwl. J.K. Nyerere zao la Mkoa na Viwanda vyake.

Pia kuna unemployment inayo sababishwa kwa makusudi na PSRS.

Hakuna Wababaishaji kama UTUMISHI (PSRS). Ohh cheti chako GPA is not Classified!
Yaani ww ni National Recruitment Agency una miaka 40 ya kazi yako. Hujui TOTAL MARKS 68% ya Masters Degree ni GPA ya ngapi? Wakati Key zipo kwenye Cheti? Una kuta mmeitwa interview watu 18. Mna enda 4, nafasi za kazi 5. Ww una enguliwa usifanye interview kwa sababu za hovyo hovyo.
Mara, ohh cheti chako haki oneshi Specialization. Huwezi angalia masomo ya kazi aliyo omba kama yapo? Au mruhusuni mtu afanye interview, then, alete barua ya uthibitisho wa Specialization toka chuoni. Vyeti vina namba za Simu na Email. Ila wako Local sna hata hawataki kutumia communication ku Confirm. Yaani sababu za kijinga jinga tu.
Maana ya Ku specialize ni kubobea katika kitu unacho kifanya kila siku. Yaani SWOT Analysis yote. Una kuwa na Standard zote za Tanzania, EAST AFRICA, WEST AFRICA, ASIA , AMERICA na ULAYA.
Kuita watu kazini tu wanachukua miezi 3 baada ya interview, akati budget ilisha pitishwa ya kazi hizo.

Yaani hawa Utumishi wanakera.
Umesafiri zako toka Kigoma, au Mbeya, Mtwara, nk afu from no-where upo Dar wana kuengua eti your Masters Degree is not CLASSIFIED!! Utadhani wana kulipia Meals, Accommodation na Transport!!
Well said.
 
Inasikitisha sana kuona kati ya maelfu ya graduates na kati ya watanzania zaidi ya milioni 60, hizi ndizo nafasi za kazi zilizopo kwa sasa! Wakati huo vigogo wakiendelea kutumbua fedha za serikali kwa ziara zisizo na kikomo! na wakiendelea kuteua na kuajiri watu waliopaswa kupumzika.

MUNGU IBARIKI AFRIKA MUNGU IBARIKI TANZANIA! View attachment 2373521
Yaani hii secretariet ingetakiwa kuwa bize kila.wakati kama kweli tuko serious
 
Kuna mwaka flani nilikuwa nahangaika na ajira za tamisemi..nikawa mpaka nime wafollow kwenye page yao 😭😭.......kibopa mmoja yuko pale TAMISEMI baada ya kuona nimekuwa kero aliniambia hivi nanukuu "wewe walaumu wazazi wako ambao hawakusoma, kama wangesoma wangekuwa kwenye system na wewe isingekuwa kazi kupata ajira" hakika siku hiyo nilijiona mnyonge sana😢😢😢😢😢
Inauma lakini ndio ukweli.

Pole sana Mkuu.
 
Imagine enzi za Mwl. kwa kutumia old technology Tanzania ilizalisha matajiri na ikilima mpira;
Tanzania iliweza kuzalisha karatasi,
Tanzania ilizalisha ngozi,
Tanzania ilizalisha nguo (mashuka, vitenge, khanga nk)
Tanzania ilizalisha mbolea za viwandani
Tanzania ilizalisha mafuta ya kula ya pamba na margarine (TANBOND)
leo tuna import toothpicks, cotton buds, miswaki ila waziri anatembelea gari (thamani Sawa na mitambo/machine ya kichakata)
Wizara
Naibu waziri
Karibu mkuu
Naibu Katibu mkuu
Makamishna
Wakurugenzi

Magari wanayotembelea hawa wazeiya tungenunua technology ya kuzalisha ngano na sukari, vijana wetu wangepata ajira na tukapunguza imports na wakati tukikita kuzalisha kwa ajili ya export.

Waziri gani anawaza kimkakati kuongeza productivity kwa kutumia modern technology wizarani kwake?
Kama yupo, mkakati wake unatekelezeka vip??

Huwa nashangaa hata sare za vyama watu wanafuata China badala ya kuhimiza uzalishaji wa ndani ili hata hao wanachama wapate ajira na kupanua tax base in the course.

Nchi hii, tunachangamoto ya namna ya kufikiri kuleta solutions kwa mustakabali wa Taifa letu
Bila ccm kuondoka madarakani Nchi itazidi kudidimia
 
Imagine enzi za Mwl. kwa kutumia old technology Tanzania ilizalisha matajiri na ikilima mpira;
Tanzania iliweza kuzalisha karatasi,
Tanzania ilizalisha ngozi,
Tanzania ilizalisha nguo (mashuka, vitenge, khanga nk)
Tanzania ilizalisha mbolea za viwandani
Tanzania ilizalisha mafuta ya kula ya pamba na margarine (TANBOND)
leo tuna import toothpicks, cotton buds, miswaki ila waziri anatembelea gari (thamani Sawa na mitambo/machine ya kichakata)
Wizara
Naibu waziri
Karibu mkuu
Naibu Katibu mkuu
Makamishna
Wakurugenzi

Magari wanayotembelea hawa wazeiya tungenunua technology ya kuzalisha ngano na sukari, vijana wetu wangepata ajira na tukapunguza imports na wakati tukikita kuzalisha kwa ajili ya export.

Waziri gani anawaza kimkakati kuongeza productivity kwa kutumia modern technology wizarani kwake?
Kama yupo, mkakati wake unatekelezeka vip??

Huwa nashangaa hata sare za vyama watu wanafuata China badala ya kuhimiza uzalishaji wa ndani ili hata hao wanachama wapate ajira na kupanua tax base in the course.

Nchi hii, tunachangamoto ya namna ya kufikiri kuleta solutions kwa mustakabali wa Taifa letu
Umeusema ukweli. Ndio maana ukiwapinga haya kukutoa roho wako tayari😅😅😅

Magari yao, ulinzi wao, nyumba zao gharama zinajenga kiwanda.

Hivi ile slogani ya uchumi wa viwanda vipi.
 
Back
Top Bottom