Asulo
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 719
- 251
Mkuu kwanza pole sana.
Hao wapo tofauti sana na sisi kifikra.. Anaweza akakuzoea sana kiasi wewe ukaona umepata kumbe, ni moto mkali ukimuanza.
Angekuanza yeye ungeenjoy ili kaka umewahi pole sana.
Tafuta mwanasheria wa ukweli utashinda tu..Ila kuhusu kazi inategemea wana uzito gani kwa hiyo kampuni.
Hao wapo tofauti sana na sisi kifikra.. Anaweza akakuzoea sana kiasi wewe ukaona umepata kumbe, ni moto mkali ukimuanza.
Angekuanza yeye ungeenjoy ili kaka umewahi pole sana.
Tafuta mwanasheria wa ukweli utashinda tu..Ila kuhusu kazi inategemea wana uzito gani kwa hiyo kampuni.