VERITE-NUE
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 1,481
- 1,450
Hakuna kitu kinachouma, kama kumuona mzazi ambae hajasoma, akijipigapiga na kujimaliza, mpaka anauza chochote alicho nacho, kusomesha watoto mpaka watano au zaidi, hadi chuo kikuu. Na baada ya kuhitimu, hawana ujuzi wowote wa kufanya chochote hata kijijini kwao, bali wanashinda mjini wakisaka ajira, tena kwa pesa za kutumiwa na wazazi, baada ya kuuza mazao. Na mwishoe wa kike aambulie mimba.