Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

Aibu kwa TBC1 na Taifa kiujumla

TBC inatajiwa ifumuliwe upya, kuna watu hawastahili hata kuwa walinzi wa hii mali yetu
 
Kuna elimu ambayo hawa watendaji wa serikali hawana kabisa kuhusiana na uraia! Ndo maana walishindwa kabisa kufanya kazi na Tido Mhando(The Expert)
 
Hivi huko mnatafuta nn mimi hata mwanangu wa 3 years haipendi tbc kabisa huwa anaangalia ubongo kids tuu kwisha.
 
Ameharibu Sana Shirika Hili, Wananchi Tunanyimwa Haki Ya Msingi Ya Kupata Ripoti Katika Vituo Mbali Mbali Nchini? Chombo Chetu? Tunachokilipia Kodi Zetu? Vituo Vya Watu Binafsi Ndiyo Vimekuwa Kama Televisheni Za Taifa?
 
Hivi huko mnatafuta nn mimi hata mwanangu wa 3 years haipendi tbc kabisa huwa anaangalia ubongo kids tuu kwisha.


Shida ni kuwa, tbc1 ipo hadi kwenye Dstv, hivo inaonekana kimataifa sasa unafikiri wanatuchukuliaje?
 
Wameshajua wanaangukia pua,hivyo hawataki kupoteza rasilimali zaidi.
Wanasubiri kutangaza matokeo ya bandia, nilitaka kushangaa Mshana anaweza kuwa Mkurugenzi kweli?
Alivyozubaaa? Ataishia alikomalizia Paul Sonzigwa uhai wake! Na alaaniwe.
 
Nani mwenye mood ya kuangalia katuni leo?Watu wote akili zao zinawaza mabadiliko sasa hivi.
 
tbc wameweka ubongo kid itv wanatoa up dates za uchaguzi.
 
wanaogopa kitu hiki hapa, hamna namna!

jamaa nakushauri mapema kama ni kujificha uanze kutafuta mapango ya kujificha mapema maanake lazima WAKUDAKE walisema ni kosa la jinai kupga picha kuonyesha nani umempigia pole sana.
 
Itabidi afukuzwe huyu awekwe 'Mangi' mambo yawe swaafi
 
Back
Top Bottom